Frobits
🎵 A song made on Frobits

Mama Jeni (Remix)

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

Mama

Jeni,

umeniacha

kwenye

giza

totoro

Uliacha

kila

kitu

bila

taarifa

Ukanitupa

kwenye

bahari

ya

majuto

Mama

Jeni,

ulinikimbia

kisa

nini?

Ukanicha

na

madeni

makubwa

ya

biashara

Siku

zinasonga,

mzigo

unazidi

kulemea

Ulisema

vibaya

kwa

ndugu

zako

Uliwatangazia

marafiki

zetu

uongo

mtupu

Sikujua

kuwa

penzi

letu

litafika

mwisho

kwa

aibu

Mama

Jeni,

umeniacha

kwenye

giza

totoro

Ulihujumu

biashara

zetu

zote

Ulizichukua

pesa

ukawekeza

kwenu

Ukajenga

nyumba

ya

kisasa

kwa

jasho

langu

Lakini

mimi

ulinifanya

masikini

wa

kutupwa

Ukaondoka

kwa

kisingizio

cha

kutopendwa

Kumbe

ulikuwa

na

lako

jambo

rohoni

Nakumbuka

ule

wakati

nakufungulia

duka

kubwa

Lile

duka

la

Luhanga

lililokuwa

kiburi

chetu

Nilijenga

nyumba

bora

ili

uishi

kama

malkia

Ukapata

kila

kitu

ulichokitamani

Lakini

leo

nimebaki

na

makovu

tu

Ulisema

sikutendei

haki,

uongo

mtupu

Ulinivua

nguo

mbele

ya

jamii

Ila

naumia

zaidi

kwa

kuacha

nyumba

tupu

Mama

Jeni,

umeniacha

kwenye

giza

totoro

Ulihujumu

biashara

zetu

zote

Ulizichukua

pesa

ukawekeza

kwenu

Ukajenga

nyumba

ya

kisasa

kwa

jasho

langu

Lakini

mimi

ulinifanya

masikini

wa

kutupwa

Ukaondoka

kwa

kisingizio

cha

kutopendwa

Kumbe

ulikuwa

na

lako

jambo

rohoni

Watoto

sita

wako

hapa,

wananiuliza

ulipo

Mtoto

wa

mwisho

anabeba

jina

langu

Anafanana

na

wewe,

kila

nikimwangalia

Machozi

yananitoka,

moyo

unapasuka

Asante

kwa

watoto,

lakini

maumivu

yamezidi

Siwezi

kukusahau,

hata

ukiniumiza

kiasi

gani

Mama

Jeni,

umeniacha

kwenye

giza

totoro

Ulihujumu

biashara

zetu

zote

Ulizichukua

pesa

ukawekeza

kwenu

Ukajenga

nyumba

ya

kisasa

kwa

jasho

langu

Lakini

mimi

ulinifanya

masikini

wa

kutupwa

Ukaondoka

kwa

kisingizio

cha

kutopendwa

Kumbe

ulikuwa

na

lako

jambo

rohoni

Nimebaki

na

deni,

nimebaki

na

watoto

Umeenda

na

nyumba,

umeenda

na

kila

kitu

Mama

Jeni,

kwa

heri

ya

kuonana

Uchungu

huu,

utabaki

ndani

ya

moyo

wangu

Uchungu

huu,

utabaki

ndani

ya

moyo

wangu (

Milele,

mama

Jeni) (

Nakukumbuka

kwa

maumivu)

More songs by SHITWANJE Listen to songs created by others
FROBITS