[male vocals] Tunakushukuru
mungu
kwaajili
ya
mengi
Kwan
hata
uhai
huu
hatuku
ustahili
bwana
Pia
tunakuomba
mungu
mbariki
mama
yetu
Veronica
ayubu
Pia
bariki
uzao
wake
bwana
Mbariki.
Emanuel
Mbariki
na
Elizabeth
bwana
Mbariki .
Elina
Mbariki
na
Ezekia
bwana
Usimuache
na.
Chares
mungu
wetu
Tutie
nguvu
tupe
hekima
na
mioyo
iliyo
pondeka
baba
Tuheshimiane
na
kupendana
siku
zote
za
maisha
ya
hapa
duniani
Bariki
pia
vizazi
vyetu
mungu
wakawe
vichwa
na
sio
mikia
tuna
kuamini
bwana
utatenda
sawa
na
mapenz
yako
usituache
njiani
bwana
asante
kwa
ulinzi
wa
kila
siku
Tuna
kupenda
na
kuku
heshimu
eeee
mungu
wetuuuh
Tufanye
tuwe
kitu
kimoja
bwana
kwamaana
upendo
uleta
furaha
utufanyie
mioyo
safi
bwana
ili
tuzidi
kukutumikia
wewe
bwana
wetu
hatuna
tumaini
lengine
ila
wewe
mungu
endelea
kumtunza
mama
yetu
Veronica
ayubu
Hakikisha
anakuwa
na
furaha
kila
wakati
na
umkumbeshe
ya
kuwa
sisi
watoto
wake
tuna
mpenda
sana
na
kumuombea
kila
wakati
uzima
wake
ndio
uzima
wetu
pia
Asante
mungu
kwa
kila
kitu
ulicho
fanya
kwenye
maisha
yetu
hatuna
chakukulipa
bwana
bali
tunakushukuru
tu
Amina
amina
na
milele
Amina
amina
na
milele