(Ay!
Rrr!
Wagwan!)
Tap
tap,
Lachy,
sikia
mdundo
Yeah,
mrembo
wangu
wa
dhahabu
Wanasema
mapenzi
uchizi,
mwenzako
silali
nakosa
usingizi
Wanasema
mapenzi
so
easy,
sababu
mapenzi
ni
pesa
siku
hizi
Tell
me
now
what
to
do,
minyororo
umenifunga
mikufu
Step
it
down
huku
juu,
me
pagawa
kwa
uzuri
mchuchu
Tap
tap
tap,
penzi
lako
naenjoy
tap
tap
Tap
tap
tap,
kunogesha
penzi
letu
tap
tap
tap
Tap
tap
tap,
niajiamini
kuwa
nawe
tap
tap
tap
Tap
tap
tap,
I
do
for
the
love
tap
tap
tap
Usione
me
ninalia
for
the
woman
Mshenzi
kakimbia
kisa
amekula
money
Hela
inavuruga
body
mpaka
my
mind
Mchizi
navurugwa
usinipe
wine
Ila
nawe
niko
sawa,
tunakwenda
kwa
mwendo
wa
kapa
Sauti
yako
naipenda,
inaponya
moyo
wangu
sasa
Tap
tap
tap,
penzi
lako
naenjoy
tap
tap
Tap
tap
tap,
kunogesha
penzi
letu
tap
tap
tap
Tap
tap
tap,
niajiamini
kuwa
nawe
tap
tap
tap
Tap
tap
tap,
I
do
for
the
love
tap
tap
tap
Unanipaga
burudani,
umenibamba
sio
utani
Yamenipanda
maruhani,
nataka
tuwe
pamoja
ndani (
Big
man
ting!)
Kama
carnival
ya
London,
mi
na
wewe
tunadunda
Sio
mchezo,
mapenzi
yako
yanipa
shida
ya
kupunda
Lachy
anakuita,
baby
sikia
sauti
yangu
Wewe
ni
wangu
wa
milele,
malkia
wa
anga
langu
Tap
tap
tap,
penzi
lako
naenjoy
tap
tap
Tap
tap
tap,
kunogesha
penzi
letu
tap
tap
tap
Tap
tap
tap,
niajiamini
kuwa
nawe
tap
tap
tap
Tap
tap
tap,
I
do
for
the
love
tap
tap
tap
Tap
tap,
yeah,
ni
mapenzi
tu
Lachy
na
mrembo,
tunadunda (
Still!
Rrr!)
Tap
tap
baby,
ni
wewe
tu.