Yesu,
wewe
ni
mwamba
wetu
Fadhil
ninakuita,
ninakuabudu
Katika
safari
ya
maisha
yenye
milima
na
mabonde
Nimeuona
mkono
wako,
ukiniongoza
kwa
upole
Fadhil
ninasimama
imara
kwa
sababu
ya
neema
yako
Ulinichagua
kutoka
mbali,
ukanitenga
na
watesi
kama
ulivyowatenga
Meshack,
Shedrack
na
Abeidnego
dhidi
ya
vinywa
vya
simba
ukawa
mlinzi
wa
roho
yangu
Sifa
zikufae
wewe,
Mungu
mwenye
nguvu
zote
Yesu
mdhamini,
wewe
ni
tumaini
langu
la
kweli
Yesu,
wewe
ni
mdhamini
wa
Familia
yangu
Katika
kila
hatua,
wewe
ni
mwamba
wangu
Sitatikisika
kamwe,
maana
unanitazama
nipitapo
Utukufu
na
heshima
ni
vyako,
Bwana
wa
mabwana
Yesu,
wewe
ni
mdhamini
wa
Taifa
letu
Tanzania
na
Ngara
yetu
uliyo
ipendelea
Sifa
kwa
jina
lako
takatifu,
amen
Ulinitoa
gizani,
ukaniweka
nuruni
mwa
uso
wako
maadui
wakashangaa
Fadhil
ninashuhudia
wema
wako
kila
uchao
Hata
kama
dhoruba
ikivuma,
sitaogopa
kamwe
Maana
mdhamini
wangu
uko
upande
wangu
Asante
Yesu
kwa
kunifunika
na
upendo
wako
Baraka
zako
zinanifuata,
ninaishi
kwa
shukrani
Yesu,
wewe
ni
mdhamini
wa
haki
Katika
kila
hatua,
wewe
ni
mwamba
wangu
Sitatikisika
kamwe,
maana
unanitazama
Utukufu
na
heshima
ni
vyako,
Bwana
wa
mabwana
Yesu,
wewe
ni
mdhamini
wa
wote
wakuchao,
Sifa
kwa
jina
lako
takatifu,
amen
Utukufu,
utukufu,
sifa
ni
vyako
Bwana
Yesu
mdhamini,
tunakuinua
milele
Ninasema
asante,
Fadhil
ninakuabudu
Yesu,
wewe
ni
wa
thamani,
hakuna
mwingine
kama
wewe
Nitaeneza
sifa
zako
duniani
kote
Kwamba
Yesu
ndiye
mdhamini
wa
wetu
daima
Kwa
nguvu
zako
nimeshinda,
kwa
damu
yako
nimekombolewa
Baraka
tele
zimejaa,
mioyo
yetu
inafurahi
Tunakuinua,
tunakuheshimu,
wewe
ni
mfalme
Yesu,
wewe
ni
mdhamini
wa
wasio
dhaminika,
Katika
kila
hatua,
wewe
ni
mwamba
wangu
Sitasita
kamwe,
maana
unanitazama
Utukufu
na
heshima
ni
vyako,
Bwana
wa
mabwana
Yesu,
wewe
ni
mdhamini
mwenye
huruma
Sifa
kwa
jina
lako
takatifu,
amen
Yesu
mdhamini,
tunakushukuru
Fadhil
ninasema
asante,
amen
Utukufu
kwa
Mungu
mbinguni
Yesu,
wewe
ni
kila
kitu
kwetu,
Haleluyaaa,
Haleluyaaaaa,
Haleluyaaaa ,
Jehooooova
shalooom