Frobits
🎵 A song made on Frobits

Majina Ya Mungu (Remix)

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male vocals] Chitu

na

Afrobit.

Yehovah!

Yehovah!

Rabuka,

Rabana,

Maulana,

Majina

yote

mazuri

ni

yako.

Yehovah

YAHWEH-

Aliyepo

milele,

Mungu

Uwezo

wake

wafika

kilele.

Majina

yote

mazuri

ni

yako.

Haya

ni

Majina

ya

Mungu,

Yanayoonyesha

ana

nguvu

kuliko

miungu.

Nguvu

kuliko

mabomu,

mikuki

na

marungu.

Majina

yote

mazuri

ni

yako.

Yehovah

Adonai-Mungu

mmiliki

na

mtawala,

Anasikia

zetu

Sala.

Yehovah

El-Elyon-

MUNGU

aliye

juu

sana.

Mungu

hawezi

kutukana.

Yehova

Jireh-

Bwana

atatoa,

NI

yeye

atatuokoa.

Haya

ni

Majina

ya

Mungu,

Yanayoonyesha

ana

nguvu

kuliko

miungu.

Nguvu

kuliko

mabomu,

mikuki

na

marungu.

Majina

yote

mazuri

ni

yako.

Yehovah

Rapha-

Bwana

anayeponya,

Anatibu

magonjwa

yote

yanayosinya.

Yehovah

Nissi-Bwana

ni

bendera

yangu,

Tutamfuata

sote

hapa

kwangu.

Yehovah

Shalom-Bwana

ni

Amani.

Ametuletea

utulivu

toka

zamani.

Haya

ni

Majina

ya

Mungu,

Yanayoonyesha

ana

nguvu

kuliko

miungu.

Nguvu

kuliko

mabomu,

mikuki

na

marungu.

Majina

yote

mazuri

ni

yako.

Yehovah

Rohi-Bwana

mchungaji

wangu,

Amelilinda

taifa

zima

langu.

Yehovah

Tsidkenu-

Bwana

ni

haki

yetu,

Anahakikisha

hakuna

dhuluma

huku

kwetu.

Yehovah

Shammah-Bwana

yupo

hapo.

Tukae

tukijua

Mungu

Yuko

nasi

tukwamapo.

Haya

ni

Majina

ya

Mungu,

Yanayoonyesha

ana

nguvu

kuliko

miungu.

Nguvu

kuliko

mabomu,

mikuki

na

marungu.

Majina

yote

mazuri

ni

yako.

Muumbaji

na

pia

Mpaji,

Mtakatifu

na

pia

Mtukufu,

Mterehemezi

na

pia

Mjenzi,

More songs by Owiti Listen to songs created by others
FROBITS