(Haleluya,
haleluya) (
Bwana
wewe
ni
mwema)
Bwana,
wewe
ni
mwema
Bwana,
wewe
ni
mwema
Mikono
yako
imetulinda
Kila
siku
umetenda
mema
Tunaona
neema
zako
Kila
asubuhi
fadhili
zako
ni
mpya
Tunaamka
na
shukrani
moyoni
Hatuna
budi
kukuinua
wewe
Kwa
sababu
wewe
ni
mkuu
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwaminifu,
Baba
yangu
Umetulinda,
umetubariki
Tutakusifu
milele,
Ee
Bwana
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwaminifu,
Baba
yangu
Umetulinda,
umetubariki
Tutakusifu
milele,
Ee
Bwana
Tulipopita
katika
magumu
Mkono
wako
ulikuwa
nasi
Hatukuanguka,
kwa
neema
zako
Jina
lako
tunalitukuza
Ulituinua
pale
tulipokwama
Ukaifuta
machozi
yetu
yote
Sasa
tunasimama
kama
mashahidi
Ya
kwamba
wewe
ni
mlinzi
wetu
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwaminifu,
Baba
yangu
Umetulinda,
umetubariki
Tutakusifu
milele,
Ee
Bwana
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwaminifu,
Baba
yangu
Umetulinda,
umetubariki
Tutakusifu
milele,
Ee
Bwana
Utukufu
na
heshima,
ni
vyako
Bwana
Tunainua
mikono
yetu
kwako (
Yesu,
Asante) (
Praise
Him,
Praise
Him)
Umeinuliwa
juu
ya
mbingu
na
nchi
Wewe
ni
Alpha
na
Omega
Tunakutukuza
wewe
pekee
Kila
pumzi
iliyo
ndani
yetu
Ni
ushuhuda
wa
upendo
wako
Umetufikisha
hapa
kwa
neema
Hatustahili
lakini
umetupa
kibali
Tunakuabudu
wewe
mfalme
Tunakuimbia
sifa
za
milele
Maisha
yetu
yote
ni
kwa
ajili
yako
Bwana
ubarikiwe
milele
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwaminifu,
Baba
yangu
Umetulinda,
umetubariki
Tutakusifu
milele,
Ee
Bwana
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu
Wewe
ni
mwaminifu,
Baba
yangu
Umetulinda,
umetubariki
Tutakusifu
milele,
Ee
Bwana
Asante
Yesu,
kwa
wema
wako
Asante
Baba,
kwa
ulinzi
wako
Maisha
yetu
ni
ushuhuda
Utukufu
wote
ni
wako
Amina,
haleluya!
Utukufu
wote
ni
wako
Amina,
haleluya!
Wewe
ni
mwema,
Mungu
wangu