Frobits
🎵 A song made on Frobits

My Dearest Frank (Remix)

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] Mpendwa

Baba

yangu,

Frank

mukabi

Natumaini

uko

salama

na

unaendelea

vizuri.

Nimeona

niandike

barua

hii

kukueleza

jambo

ambalo

huenda

sijasema

mara

nyingi

kwa

maneno,

lakini

lipo

ndani

ya

moyo

wangu

kila

siku.

Baba,

nakupenda

sana

na

ninakuthamini

kwa

kuwa

wewe

ni

sehemu

muhimu

ya

maisha

yangu.

Najua

umejitahidi

kabisa

niwe

na

maidha

mazuri,

lakini

pamoja

na

changamoto

na

nyakati

mbalimbali

tulizopitia,

bado

wewe

ni

baba

yangu

na

nafasi

yako

moyoni

mwangu

ni

ya

pekee.

Nataka

pia

ujue

kwamba

ninakudhamini

na

niko

tayari

kuwa

bega

lako

pale

nitakapoweza.

Sitaki

ujisikie

uko

peke

yako

unapopitia

changamoto.

Kadiri

Mungu

anavyonipa

uwezo,

nitajitahidi

kukusaidia,

kukuheshimu

na

kuhakikisha

unapata

faraja

na

upendo

unaostahili.

Asante

kwa

kuwa

baba

yangu.

Namuomba

Mungu

akupe

afya,

maisha

marefu,

amani

na

furaha.

Natamani

siku

zote

uwe

na

uhakika

kwamba

kuna

mtoto

wako

anayekupenda,

anayekuthamini

na

anayejali

maisha

yako.

Nakupenda

sana,

Baba.

Mungu

akubariki

na

akulinde

daima.

Kwa

upendo

na

heshima

kubwa,

Mwanao

koome

mukabi

Baba

yangu

baba

baba

nakupenda

sana

baba

MUNGU

akubariki

More songs by De Listen to songs created by others
FROBITS