Bwana,
wewe
ni
mwamba
wangu
Sifa
zikufikie,
wewe
Mungu
mkuu
Sijawahi
kuona
kiumbe
kisichoonekana
Kwa
macho
ya
nyama
Lakini
kiumbe
hicho
ndicho
kinafanya
maamuzi
yote
Na
kutoa
miongozo
ya
namna
ya
kuishi
hapa
duniani
Kiumbe
hicho
si
kingine
bali
ni
wewe
Baba
Mungu
mkuu
Hakika
huonekani
ila
uwepo
wako
ni
dhahiri
Nahisi
mguso
wako
kila
siku
katika
maisha
yangu
Bwana,
wewe
ni
kila
kitu
kwangu,
haleluya!
Oh,
Mungu
wangu,
wewe
ni
kila
kitu
Bila
wewe
mimi
siwezi
kufika
popote
Nakuomba
kaa
nami
ni
usiku
tena,
usiniache
gizani
peke
yangu
Bwana
Uwepo
wako
ndiyo
nuru
yangu
ya
kila
siku
Asante
Yesu,
utukufu
ni
wako
pekee
Kuna
wakati
natamani
nikuguse
kwa
mikono
Natamani
nikukumbatie,
tusemezane
mdomo
kwa
mdomo
Lakini
ninaikosa
hiyo
fursa
ya
kibinadamu
Navunjika
moyo
kidogo,
lakini
wewe
wajua
yote,
maana
kile
nilichotaka
nakuta
tayari
umenitendeaa
Yaani
Kabla
sijafungua
kinywa
kukuambia
haja
zangu
Tayari
umeshanifanyia,
umenitendea
kwa
ukarimu
Hapo
naishiwa
nguvu,
nabaki
nikishangaa
Upendo
wako
hauelezeki
kwangu,
Oh,
Mungu
wangu,
wewe
ni
kila
kitu
Bila
wewe
mimi
siwezi
kufika
popote
Nakuomba
kaa
nami
ni
usiku
tena,
usiniache
gizani
Bwana
peke
yangu
Uwepo
wako
ndiyo
nuru
yangu
ya
kila
siku
Asante
Yesu,
utukufu
ni
wako
pekee
Siwezi
kwenda
hatua
moja
bila
wewe
Siwezi
kupumua
bila
pumzi
yako
ndani
yangu
Roho
Mtakatifu,
niongoze,
nishike
mkono
Sitaogopa,
sitahofu,
maana
uko
nami
Kila
hatua
ninayopiga
ni
kwa
neema
yako
Unanifuta
machozi,
unanibariki,
umenipa
tumaini
jipya
Sitasita
kukuabudu,
sitasita
kukuinua
Maana
wewe
ndiye
Alpha
na
Omega
wangu
Kaa
nami
ni
usiku
tena,
Mungu,
usiniache
gizani
Bwana
Oh,
Mungu
wangu,
wewe
ni
kila
kitu
Bila
wewe
mimi
siwezi
kufika
popote
Nakuomba
kaa
nami
ni
usiku
tena,
usiniache
gizani
Bwana
Yesu.
Uwepo
wako
ndiyo
nuru
yangu
ya
kila
siku
Asante
Yesu,
utukufu
ni
wako
pekee
Bila
wewe
mimi
sifiki
popote
Kaa
nami
Yesu,
kaa
nami
Bwana,
kaa
nami
milele
Asante
Yesu,
sifa
ni
zako,
amina
Bwana
wewe
ni
kila
kitu
kwangu,
amen.