Frobits
🎵 A song made on Frobits

Coming Home to Grace (Remix)

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male vocals] NIMERUDI

Kijana

mmoja

kwenye

neno,

alimuomba

baba

yake;

Nipe

mali

yangu

yote,

nikajimudu

peke

yangu.

Baba

yake

kakubali,

kagawa

mali

yake

nusu

Yule

kijana

kaondoka,

na

kwelekea

nchi

mbali.

Yule

kijana

nchi

ya

mbali,

bila

busara

ponda

mali

Kwa

makahaba

na

rafiki,

waliotaka

kufurahi.

Ile

mali

ikaisha,

cha

ngurue

pia

akala

Ndio

mara

tu

akagutuka,

kasema’

ni

heri

nyumba

yake

baba.

Suleiman

aligundua,

kwenye

methali

mlango

sita

Jihadhari

na

kahaba,

hizi

anasa

za

dunia.

Yule

kijana

alirudi,

kwa

baba

yake

kamkubali

Wa

mbinguni

na

wa

mwili……………

Bila

siri

nimerudi,

Ninaomba

unisamehe

Nimegundua

ya

dunia,

Yana

mwisho

yatakwisha

Niliwaona

marafiki,

wakitembea

kwa

magari

Nikawa

ninayatamani,

kumbe

hekima

ninge

dhamani.

Bila

siri

nimerudi,

Ninaomba

unisamehe

Nimegundua

ya

dunia,

Yana

mwisho

yatakwisha

Niliwaona

marafiki,

wakitembea

kwa

magari

Nikawa

ninayatamani,

kumbe

hekima

ninge

dhamani.

Bila

siri

nimerudi,

Ninaomba

unisamehe

Nimegundua

ya

dunia,

Yana

mwisho

yatakwisha

Niliwaona

marafiki,

wakitembea

kwa

magari

Nikawa

ninayatamani,

kumbe

hekima

ninge

dhamani.

Bila

siri

nimerudi,

Ninaomba

unisamehe

Nimegundua

ya

dunia,

Yana

mwisho

yatakwisha

Niliwaona

marafiki,

wakitembea

kwa

magari

Nikawa

ninayatamani,

kumbe

hekima

ninge

dhamani.

Kijana

mmoja

kwenye

neno,

alimuomba

baba

yake;

Nipe

mali

yangu

yote,

nikajimudu

peke

yangu.

Baba

yake

kakubali,

kagawa

mali

yake

nusu

Yule

kijana

kaondoka,

na

kwelekea

nchi

mbali.

Yule

kijana

nchi

ya

mbali,

bila

busara

ponda

mali

Kwa

makahaba

na

rafiki,

waliotaka

kufurahi.

Ile

mali

ikaisha,

cha

ngurue

pia

akala

Ndio

mara

tu

akagutuka,

kasema’

ni

heri

nyumba

yake

baba.

Suleiman

aligundua,

kwenye

methali

mlango

sita

Jihadhari

na

kahaba,

hizi

anasa

za

dunia.

Yule

kijana

alirudi,

kwa

baba

yake

kamkubali

Wa

mbinguni

na

wa

mwili……………

Bila

siri

nimerudi,

Ninaomba

unisamehe

Nimegundua

ya

dunia,

Yana

mwisho

yatakwisha

Niliwaona

marafiki,

wakitembea

kwa

magari

Nikawa

ninayatamani,

kumbe

hekima

ninge

dhamani.

Bila

siri

nimerudi,

Ninaomba

unisamehe

More songs by Kg Listen to songs created by others
FROBITS