[male vocals] Chituz
RUKIA
MDAKU
Hii
ni
hadithi
ya
Mama
Rukia
Ni
mama
ambaye
kila
Jambo
alirukia,
Kila
mtindo
alidandia,
Kila
mwanamume
alimkimbilia,
Mama
aliyependa
Sana
mambo
kudandia,
Umbea
WA
kila
aina
alipapia,
Wanaume
aliwasaka,
kapuni
akawatia,
Kila
Jambo
lifanyikalo
Rukia
alilirukia
Rukia
hatulii
kwake,
Mama
kiguu
na
njia.
Ni
mama
ambaye
alisambaza
kila
udaku,
Rukia
na
udaku,
kama
bati
na
smaku,
Alitoka
asubuhi
na
kurudi
jioni
kama
kuku,
Mama
hatulii,
aende
kule
atokeze
na
huku!
Jambo
likiharibika,
kijiji
chote
chamshuku,
Mbali
na
udaku
alipenda
Sana
chukuchuku!
Hii
ni
hadithi
ya
Mama
Rukia,
Ni
mama
ambaye
kila
Jambo
alirukia,
Kila
mtindo
alidandia,
Kila
mwanamume
alimkimbilia,
Rukia
siku
Moja
akaamua
kumwachia
mume,
Kamwacha
mume
kaendea
paka
shume,
Mume
alilia
Kwa
uchungu
kalaumiwa
si
dume,
Rukia
alimwacha
na
mtoto
mchanga,
Wanakijiji
wote
waliduwa
na
kushangaa
Rukia
kayarukia
ya
dunia.
Hii
ni
hadithi
ya
Mama
Rukia,
Ni
mama
ambaye
kila
Jambo
alirukia,
Kila
mtindo
alidandia,
Kila
mwanamume
alimkimbilia,
Rukia
alizurura
kila
mtaa
kama
kichaa,
Alikoenda
alitupwa
nje
hakuwa
anafaa
Jina
lake
lilitambaa
Kwa
ubaya
kila
mtaa,
Rukia
hakukoma,
alikuwa
mdaku
Yule
WA
hakuna
kupoteza
masaa,
Mwisho
WA
siku
akajipata
Kwa
lile
la
takataka
jaa!
Hii
ni
hadithi
ya
Mama
Rukia,
Ni
mama
ambaye
kila
Jambo
alirukia,
Kila
mtindo
alidandia,
Kila
mwanamume
alimkimbilia
Baada
ya
Miaka
aliamua
kuwa
mwenda
tezi,
Akaamua
kuwa
anarudi
Kwa
wake
mpenzi,
Aliyemwacha
na
mtoto
mchanga,
Kuenda
alipomwona
mtoto,
Mtoto
mwenyewe
alishangaa!
Hii
ni
hadithi
ya
Mama
Rukia,
Ni
mama
ambaye
kila
Jambo
alirukia,
Kila
mtindo
alidandia,
Kila
mwanamume
alimkimbilia
Mpenzi
wake
WA
zamani
alinyanyua
njora
pamoja
na
bakora,
Alimfukuza
kama
MWIZI
na
mkora,
Rukia
asijue
ni
vipi
atachora,
Rukia
alilia
akirukaruka
Rukia
alipiga
nduru
akipayuka
Rukia
alilalama
akiboboka
Rukia
alijibwaga
chini
akifyokafyoka
Kweli
mwenda
tezi
na
omo
marejeo
ni
ngamani
Hii
ilikuwa
hadithi
ya
RUKIA.