Sikiliza
mafundisho
ya
uzima
Neno
la
uzima
linatupa
Heri
walio
Maana
ufalme
wa
mbinguni
ni
wao
Heri
wenye
huzuni,
watafarijika
Baraka
za
Mungu
zinatufunika
Heri
wenye
upole,
Heri
wenye
njaa
na
kiu
ya
haki
Watashibishwa
kwa
wema
wake
mwingi
Tunatembea
katika
nuru
ya
utakatifu
maskini
wa
roho
wa
mbinguni
ni
wao
Heri
wenye
huzuni,
watafarijika
Baraka
za
Mungu
zinatufunika
Safari
ya
paradiso
si
nyepesi
Lazima
tufuate
misingi
ya
kweli
Kama
mgonjwa
Bila
hii
misingi,
hatutoboi
ndugu
yangu
Heri
wenye
rehema,
watapata
rehema
Heri
wenye
moyo
safi,
hili
ni
mwongozo
wa
maisha
Twende
mbinguni
tukifuata
mapenzi
yake
Heri
walio
maskini
Maana
ufalme
wa
mbinguni
Heri
wenye
huzuni,
watafarijika
Baraka
za
Eeh
Bwana
tunashukuru
Moyo
safi,
twende
mbinguni
Safi,
safi,
twende
sasa
Asante
Yesu!