[male
vocals] (
Eeh
baba,
niite
Mwakamyanda) (
Sikiliza
moyo
wangu) (
Wewe
ndio
kila
kitu,
Penda)
Kama
moyo
ungekuwa
na
sauti
Ungejua
hisia
zangu
ndani
Kama
moyo
ungekuwa
na
sauti
Ungejua
hisia
zangu
ndani
Nakumis
hata
nikitingisha
kope
Nakuwa
kama
saa
iliyopoteza
mshale
Ya
sekunde,
naishi
kwa
ajili
yako
Mengine
yanaishia
ndani
mwangu
tu
Nakupenda
zaidi
ya
sana
Jina
lako
moyoni
mwangu,
sasa
Ningekubeba
mgongoni
tuzunguke
mtaa
Uamini
nakupenda,
iwe
funguo
Kila
nyumba
ya
ibada
nimesali
Sijawahi
maliza
kukuwaza,
daima
Nizaliwa
na
aibu,
ndio
asili
yangu
Aibu
imeumbwa
kama
ilivyo
wivu
Nikikukwaza
pepo
sitaiona,
nitaumia
Usiumbe
visababu
ili
uende
mbali
nami
Nikiwa
mbali
nakuomba
sogea
karibu
Kama
sisikii
wewe
paza
sauti
yako
Nakupenda
zaidi
ya
sana
Jina
lako
moyoni
mwangu,
sasa
Ningekubeba
mgongoni
tuzunguke
mtaa
Uamini
nakupenda,
iwe
funguo
Kila
nyumba
ya
ibada
nimesali
Sijawahi
maliza
kukuwaza,
daima
Una
kila
kitu
kweli,
sifa
zote
zako
Kukusifia
ni
kupoteza
muda
tu
Maana
uzuri
wako
hauna
mfano
Bongo
nzima
inajua,
Penda
wewe
Nakupenda
zaidi
ya
sana
Jina
lako
moyoni
mwangu,
sasa
Ningekubeba
mgongoni
tuzunguke
mtaa
Uamini
nakupenda,
iwe
funguo
Kila
nyumba
ya
ibada
nimesali
Sijawahi
maliza
kukuwaza,
daima
Kila
nyumba
ya
ibada
nimesali
Sijawahi
maliza
kukuwaza,
daima (
Safi,
safi
sana) (
Mwakamyanda
na
Penda) (
Nakupenda,
mpenzi
wangu) (
Twende,
twende)