[female vocals] Moyo
wangu
umechoookaaa...
Nisaidie
Mungu
maana
mimi
nimechoka!
Najitahidi
kadri
ya
uwezo
wangu
ila
leo
Mungu
kweli
nimechookaa!
Nisaidie
maana
mimi
ndio
chanzo
cha
machozi
yangu
narudia
leo
nimechoka
Mungu
wangu.
Nimelia,
kusali,
kufunga
ila
leo
baba
nione
maana
nimechoka.×2
Moyo
unauma,
mawazo
yamenisonga
maana
wanaoniliza
niwale
wakaribu
nami×2
Moyo
unauma,
mawazo
yamenisonga
maana
wanaoniliza
niwale
wakaribu
nami×2
Moyo
unauma,
mawazo
yamenisonga
maana
wanaoniliza
niwale
wakaribu
nami×2
Nimekubali
wema
pasipo
kipimo,
ni
upumbavu,
nifunze
kuwa
na
mipaka.×2
Nimekubali
wema
pasipo
kipimo,
ni
upumbavu,
nifunze
kuwa
na
mipaka.×2
Nimekubali
huruma
pasipo
na
kiwango,
ni
ufukara
nifunze
kuwa
na
mipaka
baba.×2
Mipaka
kwa
ndoa
yangu,
mipaka
kwa
kazi
yangu,
mipaka
kwa
huduma
yangu,
mipaka
kwa
urafiki,
eeh
Mungu
wangu
nifundishe
kuwa
na
mipaka.
Nimekubali
huruma
pasipo
na
kiwango,
ni
ufukara
nifunze
kuwa
na
mipaka
baba.×2
Mipaka
kwa
ndoa
yangu,
mipaka
kwa
kazi
yangu,
mipaka
kwa
huduma
yangu,
mipaka
kwa
urafiki,
eeh
Mungu
wangu
nifundishe
kuwa
na
mipaka.
Sitalaumu,
sitalia,
sitalalamika
maana
Mungu
unaniweka
kiwango
kingiineee.×2
Sitalaumu,
sitalia,
sitalalamika
maana
Mungu
unaniweka
kiwango
kingiineee.×2
Maana
sio
kila
anayekuja
maishani
mwako
ana
makusudio
ya
Mungu,
wengine
ni
vita
vilivyoandaliwa
kukuangamiza
pasipo
ufahamu
wako.
Mimi
Darling,
nakushukuru
Mungu
wangu,
maana
umeshanitendea
na
uzao
waangu