Frobits
🎵 A song made on Frobits

Usiniache Esther

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male

vocals] (

Mmm,

yeah) (

saxophone

solfège)

Esther,

usiniache

mpenzi

wangu

mimi

Baraka

nime

kuchagua

wewe

Kivuli

chako

bado

kinazunguka

akilini

Harufu

yako

bado

ipo

kwenye

mito

ya

moyo

wangu,

tume

anza

safari

ya

maisha

mimi

nawe

tutengeneze

kesho

yetu

pamoja,

Natazama

picha

zako

ukicheka

kwa

furaha

Sasa

machozi

yananitiririka

kama

mvua

ya

masika

Esther,

kweli

sija

amini

kweli

ume

pendanda

na

mimi

Kristo

aliye

hai

apewe

sifa

zaidi

kunipa

wewe

Bila

wewe

dunia

imepoteza

rangi

zake

zote

Usiniache

Adasa

Esther,

mpenzi

wangu

wa

moyo

Tuki

koseyana

tusameyane!

turudi

kwenye

mahusiano,

Usiniache

Esther,

Oh

oh

tuki

koseyana

tusameyane!

Maisha

bila

wewe,

ni

kama

safari

isiyo

na

mwisho!

Ooh

baby,

rudi

kwangu,

maisha

bila

wewe,

ni

kama

safari

isiyo

na

mwisho!

Kila

sauti

nasikia,

nahisi

ni

wewe

unakuja

kichwani

maumivu

ambayo

nilipata

kwa

zamani

nilipo

pendana

na

mwengine

yamenipa

fundisho,

njo

mana

niliomba

sana

ili

nikupate

wewe,

ile

maumivu

niliyo

yapata

kwa

yule

sipendi

niyapate

kwako

Natamani

tusikilizane

ili

tufike

lengo

letu,

muda

inasogea

mbele

wala

haurudi

nyuma

Adasa

Esther,

usiniache

pekee

yangu

Nahitaji

mguso

wako,

nahitaji

sauti

yako

mimi

nawe

tufike

mahali

tuendako

salama

Usiniache

adasa

Esther,

mpenzi

wangu

wa

moyo

tuki

koseyana

tusameyane!

Nisamehe

kama

kuna

kosa

nililokupa

turudi

kwenye

mahusiano,

Usiniache

Esther,

Oh

oh

tuki

koseyana

tusameyane!

Maisha

bila

wewe,

ni

kama

safari

isiyo

na

mwisho!

Ooh

baby,

rudi

kwangu,

maisha

bila

wewe,

ni

kama

safari

isiyo

na

mwisho!

Siwezi

kulala,

siwezi

kula,

mawazo

yote

ni

wewe

Kila

nyimbo

ninayosikia

inaniimbia

jina

lako

Esther,

mapenzi

yetu

ni

matamu

sababu

imetoka

kwa

Mungu

mzima, (

I

need

you,

baby) (

Come

here,

Esther,

usiniache) (

Saxophone

alto

douce

instrumental)

Mimi

nawe

tuende

polepole

Esther,

pamoja

na

Mungu

tuta

fika

kwenye

ndowa

Nakupenda

sana,

Sitaacha

kukuombea

mema

popote

ulipo

Maana

wewe

ndiye

chaguo

langu

nuru

ya

macho

yangu

Chaguo

langu

ni

wewe!

ehee

iiii

chaguo

langu

ni

wewe!

Usiniache

Esther,

bila

wewe

siwezi

kuvumilia

Maisha

bila

wewe,

ni

kama

safari

isiyo

na

mwisho!

Ooh

baby

Adasa

chaguo

langu

ni

wewe!

Esther

usiniache

na

maumivu

bado

naku

hitaji

kwenye

maisha

haya

ya

duniani!

I

love

Forever

I

am

Adam

and

you

Eve

little

by

little

we

will

arrive

at

our

destiny ,

Esther (

Yeah,

come

back). (

End)

Baraka

Amani

More songs by baraka Listen to songs created by others
FROBITS