[male vocals] Chuo
Cha
Tabora
polytechnic
ni
miongoni
mwa
vyuo
Bora
vilivyopo
nchini
Tanzania.
chuo
hiki
kimekuwa
ni
sehemu
muhimu
ya
mafanikio
katika
nyanja
ya
kielimu
na
ukombozi
wa
kiuchumi
kwa
watanzania.
Tangu
kuanzishwa
kwake
chuo
chetu
kimejikita
katika
kutoa
elimu
yenye
ubora
na
viwango
vya
kimataifa.
Chorus
Imani
yetu,
Umoja
wetu,
upendo
wetu
kwa
watanzania,
chuo
Cha
Tabora
polytechnic
ni
Imani
yetu
kukudumia
wakati
wote'
Waalimu
wenye
uzoefu
na
wabobevu
katika
kutoa
elimu
yenye
viwango
vya
kimataifa.
Watakufundisha
kwa
ustadi
Mkubwa
utakao
kusaidia
kulitumikia
Taifa
letu
lenye
amaniTanzania.
wahitimu
wake
waliopatiwa
mafunzo
safi
na
maadili
Bora
Kutoka
chuo
Cha
Tabora
polytechnic
wameajiriwa
ndani
ya
nchi
na
barani
Afrika.
Chorus "
Imani
yetu,
umoja
wetu,
upendo
wetu
kwa
watanzania,
chuo
Cha
Tabora
polytechnic
ni
Imani
yetu
kukuhudumia
wakati
wote"
Uongozi
Bora
na
ulio
mahili,
umekiwezesha
chuo
kutoa
mafunzo
ya
afya
na
fani
zisizo
za
afya
ambazo
zimekuwa
ni
nguzo
kwa
watanzania
katika
kupata
ujuzi
na
kulitumikia
Taifa
letu
mama
Tanzania.
tunasema
Asante
mungu
kwa
uongozi
wa
chuo,
Asante
kwa
wanachuo
na
Asante
kwa
watanzania
wote.
Chorus "
Imani
yetu,
umoja
wetu,
upendo
wetu
kwa
watanzania.
chuo
Cha
Tabora
polytechnic
ni
Imani
yetu
kukuhudumia
wakati
wote"
kwa
pamoja
tunasema
karibuni
kwetu
Tabora
East
Africa
Polytechnic
college.