[male
vocals] (
Aweh,
asambe)
Shida
za
dunia
ni
nyingi
leo
Siku
za
mwisho
zimekaribia
Baba
na
mama
wanakorogana
Kaka
na
fiye
wanakorogana
Familia
na
familia
wanakorogana
Ndugu
na
ndugu
nao
wanakorogana
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge
Kama
mwisho
inakaribia,
tuwe
tayari
Mambo
ya
dunia
inanichanganya
sana
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge
Rafiki
na
rafiki
wanakorogana
Biby
na
bwana,
musiachane
Kaka
na
dada,
musiachane
Mama
na
baba,
musiachane
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge
Kama
mwisho
inakaribia,
tuwe
tayari
Mambo
ya
dunia
inanichanganya
sana
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge (
Yebo,
sharp
sharp)
Mungu
angali
anawapenda
sana
Tupendane
sisi
sote,
Yesu
anatupenda
Nasi
tumupende
sana,
ju
hatujui
siku
Hatujui
saa,
hatujui
dakika (
Eish,
sho)
Mungu
uliye
mbinguni,
wasamehe
Wale
wote
waliyokoseyana
Tunakuomba
uwape
upendo
Wapendane
zaidi
sana,
ya
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge
Kama
mwisho
inakaribia,
tuwe
tayari
Mambo
ya
dunia
inanichanganya
sana
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge
Dunia
inafika
mwisho,
tujichunge
Upendo
ndio
silaha
kuu (
Asambe,
kwa
heri)