Frobits
🎵 A song made on Frobits

Harusi Ya Baraka

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] Imetimu

ile

siku,

siku

ya

furaha

kwetu,

Tulioingoja

sana,

siku

ya

harusi

iliyo

takatifu.

Ndoa

ya

kwanza

pale

Edeni,

katika

ubavu

wa

kushoto,

Mrembo

katwaliwa,

upweke

ukaondoshwa.

Imetimu

ile

siku,

siku

ya

furaha

kwetu,

Tulioingoja

sana,

siku

ya

harusi

iliyo

takatifu.

Ndoa

ya

kwanza

pale

Edeni,

katika

ubavu

wa

kushoto,

Mrembo

katwaliwa,

upweke

ukaondoshwa*2

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili,

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha.

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili,

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha*2

Mtangulize

Mungu

awe

wa

kwanza,

kwenye

ndoa

yenu,

Ya

watu

msisikilize,

mtegemee

Mwenyezi

kwa

kila

hatua

zenu.

Sisi

twaombea

mpate

na

baraka

tele,

mafanikio

kwenye

ndoa

yenu.

Mtangulize

Mungu

awe

wa

kwanza,

kwenye

ndoa

yenu,

Ya

watu

msisikilize,

mtegemee

Mwenyezi

kwa

kila

hatua

zenu.

Sisi

twaombea

mpate

na

baraka

tele,

mafanikio

kwenye

ndoa

yenu.

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili,

kazi

yetu

ni

kuwaombea,

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha.

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili,

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha*2

Kila

jua

likichomoza,

mshukuruni

kwa

uzima,

Kila

jua

likizama,

ombeni

kwa

bidii

na

heshima.

Ndoa

ni

agano

takatifu,

Mungu

awape

nguvu

ya

kudumu.

Kila

jua

likichomoza,

mshukuruni

kwa

uzima,

Kila

jua

likizama,

ombeni

kwa

bidii

na

heshima.

Ndoa

ni

agano

takatifu,

Mungu

awape

nguvu

ya

kudumu.

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili,

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha.

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili,

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha.

Harusi

tunayo

leo,

tena

yapendeza

sana,

Wawili

sasa

mwili

mmoja,

ni

kazi

ya

Mwenyezi

Mungu.

Ameyaunganisha

maisha

ya

wawili

Kilichounganishwa

na

Mungu,

mwanadamu

hawezi

kutenganisha*2

More songs by barakalaurence762 Listen to songs created by others
FROBITS