* COUPLET 1 -
DOUX* _
Sauti
ya
polepole,
ya upendo_ *
Baba
Josué
Fungulo
Lwaboshi* *
Mama
Kabala
Elisabeth*
Mungu
amewabariki
Amejenga
nyumba
yenu
kwa
amani
Ana
watoto
watatu
wazuri *
Victoire* -
ushindi
wako
Bwana *
Grace* -
neema
yako *
Dorikas* -
baraka
yako *
REFRAIN -
DOUX* *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ *
Tunalinda
watoto
wako* *
Victoire,
Grace
na
Dorikas* *
Wabariki,
wainue,
uwatunze* *
Famille
Fungulo
ni
yako
Bwana* _
Chœur:
Ni
yako...
ni
yako Bwana_ *
Leo
na
amini
kwamba
Mungu
ni
Baba
wa
wote* *
Yeye
ndiye
anaye
pinga
ma
wazo
ma
baya* *
Kwa
watu
wa
baya* _
Hakuna
giza
litakaloshinda
nuru yako_
Nyumba
hii
imefunikwa
na
damu
ya
Yesu
Malaika
wanalinda
mlangoni
kwa
upole _
Sauti
inatetemeka
kwa shukrani_ *
Kabala
Elizabeth
wangu
asante* *
Kwa
kazi
ambayo
unafanya
sokoni* *
Kwa
kuuza
samaki* _
Mungu
akubariki
mikono
yako
mama..._ *
Asante
kwa
ulinzi
wako* *
Kwa
upendo
wako
juu
ya
familia
yangu* *
Baba
wa
wote*
unatuangalia
Hakuna
usiku
unaopita
bila
wewe _
Bwana...
tunakuomba
kwa upole_ _
Bariki
kazi
ya
mikono
ya
Mama Kabala_ _
Bariki
samaki
anayouza sokoni_ _
Ikuwe
baraka...
na
si hasara_ _
Linda
Victoire,
Grace
na Dorikas_ _
Kwa
kuwa
Wewe
ni *
Baba
wa
wote*_ *
REFRAIN
FINAL -
DOUX
MAIS
FORT* *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x3)_ *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x3)_ *
Famille
Fungulo
ni
yako
Bwana* *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ *
Mungu
wa
Josué,
Mungu
wa
Kabala* _(x2)_ _
Sauti
ya
polepole,
ya upendo_ _
Sauti
ya
polepole,
ya upendo_