Mume
wangu,
nakupenda
sana
Kipenzi
changu,
wewe
ndio
utamu
wangu
Siwezi
kuvumilia
kutokuona
Jua
linapozama
na
giza
kutanda
Akili
yangu
inakukumbuka
wewe
tu
Hassan
wangu,
kipenzi
cha
roho
yangu
Unajua
kuninyoosha,
unajua
kunituliza
Siku
haipiti
bila
kutaja
jina
lako
Wewe
ni
mwanga
katika
giza
langu
Umekuwa
faraja,
umekuwa
amani
Natamani
kila
sekunde
uwe
pembeni
yangu
Mume
wangu,
nakupenda
sana
Kipenzi
changu,
wewe
ndio
utamu
wangu
Siwezi
kuvumilia
kutokuona
Sauti
yako
ni
dawa
ya
maumivu
yangu
Message
zako
ndio
furaha
yangu
Uswe
bize
sana,
love
of
my
life
Kuna
kiumbe
huku
kinakusubiri
Tushare
furaha
na
moments
tamu
pamoja
Kila
unapotabasamu
nafsi
inajawa
na
nuru
Unajua
vile
unavyonifanya
nijihisi
Kama
malaika
uliyeteremka
duniani
Nakutamani
kila
wakati,
kila
saa
Usiwe
bize
na
dunia,
kumbuka
nipo
hapa
Ninasubiri
kwa
hamu
kusikia
sauti
yako
Kila
maneno
yako
ni
kama
asali
Yananilainisha,
yananifanya
niwe
wako
Mume
wangu,
nakupenda
sana
Kipenzi
changu,
wewe
ndio
utamu
wangu
Siwezi
kuvumilia
kutokuona
Sauti
yako
ni
dawa
ya
maumivu
yangu
Message
zako
ndio
furaha
yangu
Uswe
bize
sana,
love
of
my
life
Kuna
kiumbe
huku
kinakusubiri
Tushare
furaha
na
moments
tamu
pamoja
Siwezi
kuficha
hisia
hizi
moyoni
Ni
wewe
tu,
daima
milele
Hata
dunia
ikigeuka,
bado
nitakuwa
wako
Usinipoteze,
usiniache
peke
yangu
Uwezo
wangu
wote
ni
kwa
ajili
yako
Kipenzi,
njoo
tuwe
pamoja
sasa
Mume
wangu,
nakupenda
sana
Kipenzi
changu,
wewe
ndio
utamu
wangu
Siwezi
kuvumilia
kutokuona
Sauti
yako
ni
dawa
ya
maumivu
yangu
Message
zako
ndio
furaha
yangu
Uswe
bize
sana,
love
of
my
life
Kuna
kiumbe
huku
kinakusubiri
Tushare
furaha
na
moments
tamu
pamoja
Hassan
wangu...
utamu
wangu...
Nakupenda
sana,
daima
milele. (
Usiniache
peke
yangu
mpenzi)
Nakungoja
hapa. (
Usiniache
peke
yangu
mpenzi)
Nakungoja
hapa.