[male vocals] Oh,
Mungu
wangu,
nakuita
leo
Miguel
niko
mbele
zako,
nasikiliza
sauti
yako
Mungu
wangu
nisaidie,
usiniache
peke
yangu
Eh
baba
ni
Mimi
mwanao
Miguel,
napiga
goti
kwako
Sina
mwingine
ninaye
muhabudu
zaidi
Yako
Nakuja
kwako
nikiomba
rehema
Yako
Unisamehe
makosa
yangu
baba,
kila
kosa
ninalolijua
Na
mambo
ninayohitaji
kushitaki
kwako
baba
Ni
kweli
na
kopa
lkn
kulipa
ni
ngumu
baba
Naomba
uniondolee
hili,
ufungue
milango
ya
baraka
Nisaidie
mimi,
nisimame
imara
mbele
yako
Uondoe
mzigo
huu,
unipe
amani
ya
moyo
wangu
Ee
Mungu
wangu,
sikia
dua
yangu
leo
Miguel
mwanao,
naomba
neema
yako (
Halleluya,
nasema
asante,
yesu
uwe
nami)
Watu
wanachuki
sana,
hata
kama
wamekuzidi
Watu
wanachuki
sana,
hata
kama
wamekuzidi
Nia
Yao
wakupokonye
hata
ulichopatiwa
Eh
Mungu
unanisikia,
naomba
nafasi
na
Mimi
Yakumiliki
ela
nyingi
zakuweza
kusahau
mengine
Nisaidie
nivuke
mitego
ya
maadui
zangu
Uinue
kichwa
changu,
nione
mwanga
wako
Nisaidie
mimi,
nisimame
imara
mbele
yako
Uondoe
mzigo
huu,
unipe
amani
ya
moyo
wangu
Ee
Mungu
wangu,
sikia
dua
yangu
leo
Miguel
mwanao,
naomba
neema
yako
Eh
Mungu
jambo
lingine,
mlinde
mpenzi
wangu
Na
watu
wabaya,
asije
kubadilika
Akijiunga
na
mahadui
zangu,
mshike
mkono
Na
familia
yangu,
hatuna
mawasiliano
Kila
siku
ni
ugomvi,
baba
leta
upendo
Rejesha
umoja,
nyumba
yetu
ipate
utulivu (
Praise
Him,
Mungu
mwema,
uwe
na
sisi)
Najua
wewe
ni
mwaminifu,
huniachi
kamwe
Katika
kila
jaribu,
wewe
ni
ngome
yangu
Nitaendelea
kukuamini,
hata
nyakati
za
giza
Maana
wewe
ni
nuru,
na
tumaini
langu
Miguel
mwanao
anasema
asante
kwa
kila
hatua
Nisaidie
mimi,
nisimame
imara
mbele
yako
Uondoe
mzigo
huu,
unipe
amani
ya
moyo
wangu
Ee
Mungu
wangu,
sikia
dua
yangu
leo
Miguel
mwanao,
naomba
neema
yako
Asante
baba,
kwa
kunisikia
leo
Miguel
anakushukuru,
niko
salama
kwako
Amen,
yesu,
niko
salama
Amen,
yesu,
niko
salama (
Glory,
utukufu
ni
wako
pekee)