[female vocals] Tunatowa
mkono
wa
pole
kwa
muimbaji
mwenzetu
MIRUHO
Migabo
Shendwa
kwaku
wapoteza
SHEMEKI
zake
wawili
SAMSON
MAHITAJI
KABENGANO
NA
mdogo
yake
MBIGWA
KABENGANO
NAKAHIJA.
Miruho
Migabo
Shendwa,
tunasimama
na
wewe
Katika
kipindi
hiki,
moyo
wetu
uko
nawe
Kupoteza
ndugu
wawili
ni
mzigo
mzito
Samson
Mahitaji
Kabengano,
hatumsahau
Mbigwa
Kabengano
Nakahija,
wameenda
zao
Tunalia
pamoja,
machozi
ni
ya
kweli
Pole
Miruho,
pole
ndugu
yangu
Mungu
akutie
nguvu
katika
safari
hii
Samson
na
Mbigwa,
pumzikeni
kwa
amani
Uvumilivu
kwako
Miruho,
tunakuombea
Pole
sana,
pole
sana,
moyo
usife
moyo
Maisha
ni
njia,
tunapita
na
kurejea
Miruho,
kumbukumbu
zao
ziwe
mwanga
wako
Samson
alikuwa
rafiki,
Mbigwa
alikuwa
ndugu
Safari
yao
imefika,
wameacha
alama
Kina
Miruho
Migabo,
shikeni
imara
sasa
Hii
dunia
ni
uwanja
wa
majaribu
mengi
Pole
Miruho,
pole
ndugu
yangu
Mungu
akutie
nguvu
katika
safari
hii
Samson
na
Mbigwa,
pumzikeni
kwa
amani
Uvumilivu
kwako
Miruho,
tunakuombea
Pole
sana,
pole
sana,
moyo
usife
moyo
Tunaimba
wimbo
huu
kwa
heshima
yao
Samson
Mahitaji
Kabengano
na
Mbigwa
Nakahija
pia
pole
papa
byamungu
Kabengano,
Ahadi
Kabengano,
Namutundu
Kabengano
Nakahija,
Mubalama
Kabengano
Nakahija,
Lukogo
Nakahija,
Nabindu
Nakahija
na
Lubarika
nzima
poleni
Kama
wasanii,
tunashirikiana
huzuni
Nyimbo
zetu
ni
faraja
kwa
waliofiwa
Miruho
na
Neema
jipeni
moyo,
Imani
Kagembe
na
Bushambale
jipeni
moyo,
Mubalama
na
Bahati
jipeni
moyo,
Amani
na
Shukuru
jipeni
moyo,
servin
na
Francine
jipeni
moyo.
Pole
Miruho,
pole
ndugu
yangu
Mungu
akutie
nguvu
katika
safari
hii
Samson
na
Mbigwa,
pumzikeni
kwa
amani
Uvumilivu
kwako
Miruho,
tunakuombea
Pole
sana,
pole
sana,
moyo
usife
moyo
Tunatowa
pole
kwa
jamaa
la
NAKAHIJA,
kibinafsi
kwa
papa
Kabengano
na
mama
Maombi
musife
mioyo
maana
tutamuona
tusipo
zimia
mioyo.