Njooni
kwangu
ninyi
nyoote
msumbukao
na
kulemewa
Na
mizigo
mizito
ya
dhambiiiiiii
Bwana
Yesu
aita:
Kwa
hakika
akisema (
aaah) "
Njooni
kwangu
ninyi
nyote, (
eeeeh)
Msumbukao
na
kulemewa, (
aaaaah)
Na
mizigo
mizito
ya
dhambi,
Njooni
niwapumzishe" (
eeeeh) "
Kwa
maana
nira
yangu
ni
laini, (
iiiiiih)
Na
mzigo
wangu
ni
mwepesi, (
iiiiih)
Nanyi
mtapata
raha,
Raha
mioyoni
mwenu" (
uuuuuh)
Bwana
Yesu
aita:
Kwa
hakika
akisema (
aaah) "
Njooni
kwangu
ninyi
nyote, (
eeeeh)
Msumbukao
na
kulemewa, (
aaaaah)
Na
mizigo
mizito
ya
dhambi,
Njooni
niwapumzishe" (
eeeeh) "
Kwa
maana
nira
yangu
ni
laini, (
iiiiiih)
Na
mzigo
wangu
ni
mwepesi, (
iiiiih)
Nanyi
mtapata
raha,
Raha
mioyoni
mwenu" (
uuuuh)
Unangoja
ni
ndugu
wewe
Unataka
nini
ndugu
yangu (
uuuuh)
Mbeba
mizigo
anakuita (
aaaah)
Tua
mizigo
yako
msalabani (
iiiiih)
Unangoja
ni
ndugu
wewe
Unataka
nini
ndugu
yangu (
uuuuh)
Mbeba
mizigo
anakuita (
aaaah)
Tua
mizigo
yako
msalabani (
iiiiih)
Acha
mambo
yote,
Yaliyo
machukizo
mbele
za
Mungu
Acha
hayo
yote
Njoo
umfuate
Yesu
Sauti
yake
Yesu,
Tena
ni
ya
upole
Inakubembeleza
Njoo
umfuate
Yesu
Acha
hayo
yote
Njoo
umfuate
Yesu
Sauti
yake
Yesu,
Tena
ni
ya
upole
Inakubembeleza
Njoo
umfuate
Yesu
Enyi
ndugu
sikilizeni
nyoote
Wito
wake
Yesu
mwokozi
wetu
Anasema
tua
mizigo
yako
Usiache
hata
kidogo
Enyi
ndugu
sikilizeni
nyoote
Wito
wake
Yesu
mwokozi
wetu
Anasema
tua
mizigo
yako
Usiache
hata
kidogo
Hata
ile
dhambi
uipendayo
Uiache
Yesu
anasema,
Hata
ile
dhambi
uipendayo
Uiache
Yesu
anasema
Njoo
kwa
Yesu
upumzishwe
baba
Amekungoja
wewe
siku
nyingi
Uje
kwa
Yesu
upumzishwe
mama,
njooooo (
unangoja
ni
wewe)
Unangoja
ni
ndugu
wewe
Unataka
nini
ndugu
yangu (
uuuuh)
Mbeba
mizigo
anakuita (
aaaah)
Tua
mizigo
yako
msalabani (
iiiiih)
Unangoja
ni
ndugu
wewe
Unataka
nini
ndugu
yangu (
uuuuh)
Mbeba
mizigo
anakuita (
aaaah)
Tua
mizigo
yako
msalabani (
iiiiih)
Acha
mambo
yote,
Yaliyo
machukizo
mbele
za
Mungu
Acha
hayo
yote
Njoo
umfuate
Yesu
Sauti
yake
Yesu,
Tena
ni
ya
upole
Inakubembeleza
Njoo
umfuate
Yesu
Yesu:
Anatuita
sisi
soteee
Tuliopotea
dhambini
Amekuja
kwetu
leo
Tuitikie
wito...
Yesu:
Anakuita
wewe
baba,
uliyepotea
dhambini,
Itikia
wote
wake
leo
Atakupa
raha
Yesu:
Anakuita
wewe
mama,
uliyepotea
dhambiani,
Itikia
wito
wake
leo
Utapata
raha.
Yesu:
Anatuita
sisi
soteee
Tuliopotea
dhambini
Amekuja
kwetu
leo
Tuitikie
wito...
Yesu:
Anakuita
wewe
baba,
uliyepotea
dhambini,
Itikia
wote
wake
leo
Utapata
raha.
Yesu:
Anatuita
sisi
soteee
Tuliopotea
dhambini
Amekuja
kwetu
leo
Tuitikie
wito...
Yesu:
Anakuita
wewe
baba,
uliyepotea
dhambini,
Itikia
wote
wake
leo
Atakupa
raha
Tuliopotea
dhambini
Amekuja
kwetu
leo
Tuitikie
wito...
Yesu:
Anakuita
wewe
baba,
uliyepotea
dhambini,
Itikia
wote
wake
leo
Atakupa
raha
Yesu:
Anakuita
wewe
mama,
uliyepotea
dhambiani,
Itikia
wito
wake
leo
Utapata
raha.
Njooni
kwangu
ninyi
nyoote
msumbukao
na
kulemewa
Na
mizigo
mizito
ya
dhambiiiiiii
Bwana
Yesu
aita:
Kwa
hakika
akisema (
aaah) "
Njooni
kwangu
ninyi
nyote, (
eeeeh)
Msumbukao
na
kulemewa, (
aaaaah)
Na
mizigo
mizito
ya
dhambi,
Njooni
niwapumzishe" (
eeeeh) "
Kwa
maana
nira
yangu
ni
laini, (
iiiiiih)
Na
mzigo
wangu
ni
mwepesi, (
iiiiih)
Nanyi
mtapata
raha,
Raha
mioyoni
mwenu" (
uuuuuh)
Bwana
Yesu
aita:
Kwa
hakika
akisema (
aaah) "
Njooni
kwangu
ninyi
nyote, (
eeeeh)
Msumbukao
na
kulemewa, (
aaaaah)