Frobits
🎵 A song made on Frobits

Njooni Msumbukao

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

Njooni

kwangu

ninyi

nyoote

msumbukao

na

kulemewa

Na

mizigo

mizito

ya

dhambiiiiiii

Bwana

Yesu

aita:

Kwa

hakika

akisema (

aaah) "

Njooni

kwangu

ninyi

nyote, (

eeeeh)

Msumbukao

na

kulemewa, (

aaaaah)

Na

mizigo

mizito

ya

dhambi,

Njooni

niwapumzishe" (

eeeeh) "

Kwa

maana

nira

yangu

ni

laini, (

iiiiiih)

Na

mzigo

wangu

ni

mwepesi, (

iiiiih)

Nanyi

mtapata

raha,

Raha

mioyoni

mwenu" (

uuuuuh)

Bwana

Yesu

aita:

Kwa

hakika

akisema (

aaah) "

Njooni

kwangu

ninyi

nyote, (

eeeeh)

Msumbukao

na

kulemewa, (

aaaaah)

Na

mizigo

mizito

ya

dhambi,

Njooni

niwapumzishe" (

eeeeh) "

Kwa

maana

nira

yangu

ni

laini, (

iiiiiih)

Na

mzigo

wangu

ni

mwepesi, (

iiiiih)

Nanyi

mtapata

raha,

Raha

mioyoni

mwenu" (

uuuuh)

Unangoja

ni

ndugu

wewe

Unataka

nini

ndugu

yangu (

uuuuh)

Mbeba

mizigo

anakuita (

aaaah)

Tua

mizigo

yako

msalabani (

iiiiih)

Unangoja

ni

ndugu

wewe

Unataka

nini

ndugu

yangu (

uuuuh)

Mbeba

mizigo

anakuita (

aaaah)

Tua

mizigo

yako

msalabani (

iiiiih)

Acha

mambo

yote,

Yaliyo

machukizo

mbele

za

Mungu

Acha

hayo

yote

Njoo

umfuate

Yesu

Sauti

yake

Yesu,

Tena

ni

ya

upole

Inakubembeleza

Njoo

umfuate

Yesu

Acha

hayo

yote

Njoo

umfuate

Yesu

Sauti

yake

Yesu,

Tena

ni

ya

upole

Inakubembeleza

Njoo

umfuate

Yesu

Enyi

ndugu

sikilizeni

nyoote

Wito

wake

Yesu

mwokozi

wetu

Anasema

tua

mizigo

yako

Usiache

hata

kidogo

Enyi

ndugu

sikilizeni

nyoote

Wito

wake

Yesu

mwokozi

wetu

Anasema

tua

mizigo

yako

Usiache

hata

kidogo

Hata

ile

dhambi

uipendayo

Uiache

Yesu

anasema,

Hata

ile

dhambi

uipendayo

Uiache

Yesu

anasema

Njoo

kwa

Yesu

upumzishwe

baba

Amekungoja

wewe

siku

nyingi

Uje

kwa

Yesu

upumzishwe

mama,

njooooo (

unangoja

ni

wewe)

Unangoja

ni

ndugu

wewe

Unataka

nini

ndugu

yangu (

uuuuh)

Mbeba

mizigo

anakuita (

aaaah)

Tua

mizigo

yako

msalabani (

iiiiih)

Unangoja

ni

ndugu

wewe

Unataka

nini

ndugu

yangu (

uuuuh)

Mbeba

mizigo

anakuita (

aaaah)

Tua

mizigo

yako

msalabani (

iiiiih)

Acha

mambo

yote,

Yaliyo

machukizo

mbele

za

Mungu

Acha

hayo

yote

Njoo

umfuate

Yesu

Sauti

yake

Yesu,

Tena

ni

ya

upole

Inakubembeleza

Njoo

umfuate

Yesu

Yesu:

Anatuita

sisi

soteee

Tuliopotea

dhambini

Amekuja

kwetu

leo

Tuitikie

wito...

Yesu:

Anakuita

wewe

baba,

uliyepotea

dhambini,

Itikia

wote

wake

leo

Atakupa

raha

Yesu:

Anakuita

wewe

mama,

uliyepotea

dhambiani,

Itikia

wito

wake

leo

Utapata

raha.

Yesu:

Anatuita

sisi

soteee

Tuliopotea

dhambini

Amekuja

kwetu

leo

Tuitikie

wito...

Yesu:

Anakuita

wewe

baba,

uliyepotea

dhambini,

Itikia

wote

wake

leo

Utapata

raha.

Yesu:

Anatuita

sisi

soteee

Tuliopotea

dhambini

Amekuja

kwetu

leo

Tuitikie

wito...

Yesu:

Anakuita

wewe

baba,

uliyepotea

dhambini,

Itikia

wote

wake

leo

Atakupa

raha

Tuliopotea

dhambini

Amekuja

kwetu

leo

Tuitikie

wito...

Yesu:

Anakuita

wewe

baba,

uliyepotea

dhambini,

Itikia

wote

wake

leo

Atakupa

raha

Yesu:

Anakuita

wewe

mama,

uliyepotea

dhambiani,

Itikia

wito

wake

leo

Utapata

raha.

Njooni

kwangu

ninyi

nyoote

msumbukao

na

kulemewa

Na

mizigo

mizito

ya

dhambiiiiiii

Bwana

Yesu

aita:

Kwa

hakika

akisema (

aaah) "

Njooni

kwangu

ninyi

nyote, (

eeeeh)

Msumbukao

na

kulemewa, (

aaaaah)

Na

mizigo

mizito

ya

dhambi,

Njooni

niwapumzishe" (

eeeeh) "

Kwa

maana

nira

yangu

ni

laini, (

iiiiiih)

Na

mzigo

wangu

ni

mwepesi, (

iiiiih)

Nanyi

mtapata

raha,

Raha

mioyoni

mwenu" (

uuuuuh)

Bwana

Yesu

aita:

Kwa

hakika

akisema (

aaah) "

Njooni

kwangu

ninyi

nyote, (

eeeeh)

Msumbukao

na

kulemewa, (

aaaaah)

More songs by Mwl. Listen to songs created by others
FROBITS