[male vocals] Mungu
baba,
mungu
baba
WA
Salama ,
mungu
baba ,
ni
kwa
Nini
umetuacha?×2
Ehhh
mungu
baba,
mungu
baba
WA
Salama
papa,
mungu
baba,
ni
kwa
Nini
umetuacha
ehhh
Mungu
baba,
mungu
baba
WA
Salama,
mungu
baba,
ni
kwa
Nini
umetuacha ?
Ivi
tu
naishi,
aina
sauti
Yako,
ibi
tu
naona,
aina
mapenzi
Yako,
Uli
semaka,
nikiamini
Mita
Ona ,
utukufu
wako,
pa
maïsha
yangu ×2
Ivi
tu
naishi,
aina
sauti
Yako,
ibi
tu
naona,
aina
mapenzi
Yako,
Uli
semaka,
nikiamini
Mita
Ona ,
utukufu
wako,
pa
maïsha
yangu ×2
Yangu
nili
Amini
baba
maïsha
yangu
ni
paka
ile
ile,
ya
kulomba
kwangaika
kulia,
na
kusaka
meno,
pa
kupata
namuna
ya
Kuishi,
inabiji
niombe,
lwa
kulomba
mingi
baba
wangu
yeah,
bananita
kalombo,
Mungu
baba,
mungu
baba
WA
Salama,
mungu
baba,
ni
kwa
Nini
umetuacha
Mungu
baba,
mungu
baba
WA
Salama ,
mungu
baba ,
ni
kwa
Nini
umetuacha?×2
WA
KADIMA
Étienne
mwambi
wanyi
ulisema
weye
auta
niacha
baba
Ulisema,
utabariki
Kazi
ya
mikono
yangu
Ulisema
tuta
kongosha
atuta
kongola
shiye
Ulisema
tuta
endelea
atuta
rujia
nyuma
Ulisema
tutapikwa
vita
na
ushinji
ni
wetu
Ulisema
tutakuwa
bichwa
mikila
apana
Ona
Léo
tunaishi
kinyume
na
misemo
Yako
Yoyoyooo,
ulisema
Nini
tukuamini
papa
Ulisema,
nikiamini
Mita
Ona,
utukufu
wako,
pa
maïsha
yangu (
Piano
claviers
et
guitare)
Mbaya
utoka
Paul
wangu
umoneshe
mungu
wako
anikumbukeko,
nju
miye
lwangu,
jean
WA
ngasa
mina
choka
mateso,
kuzarikwa
mu
mateso,
kukomea
mu
mateso,
Kuishi
mu
mateso,
karibu
nikufwe
mu
mateso
papa
Ba
myaka
yangu,
tuli
komea
nabo
Usha
babariki,
Kweli
ni
Neema,
sasa
miye
uyu,
una
niacha
njuya
Nini ,
Unielezehe
basi,
kama
aina
weye
njo
mungu
Ali
niumba,
nikuache
lwangu,
nikatafute
ule
Ali
niumba
ani
saijiye,
nju
mateso,
mateso
lwangu
mina
ichoka,
number
baba,
utulufu
wako
ni
Nini
shamah
Kumbe
baba,
utukufu
wako
ni
Nini ?
Kumbe
baba,
utukufu
wako
ni
Nini.×2
Unenda
wapi,
mungu
WA
Salama,
shuka
Léo,
jibu
maswali
yetu
baba,
tunapenda
tuone
mukono
wako,
pa
maïsha
yetu,
Utuwazieko
baba.
Ushi
nipeme
kipimo
kimoya
na
Jobehhh,
ule
ni
Jobehhh,
miye
ni
john
WA
ngasa,
Imani
yangu
na
ya
Jobe
bisha
kuachana
mbari,
sasa
nju
ya
Nini
mateso
yangu,
ifanana
yakee?
Minakulomba
papa
shikiya
kiliyo
changu,
bule
mitakwa
kukuacha
lwa
mateso
Utuwazieko
baba.
Tuna
itana,
tuna
changana,
tuna
panda
Ku
mulima
baba,
atukwe
kujisha
kintu,
tunakuya
Ku
kutafuta
wewe
baba,
kila
muntu
eko
na
Mambo
ndani
mwake,
anapenda
Nini
yooo
Utuwazieko
baba.
Tunalia
tunachoka
baba
shuka
Utuwazieko
babeee,
utuwazieko
babeee ×...
Mungu
WA
Anaclet
MUKABA
et
lyly
sankisha,
mungu
WA
kwetu,
umu
kumbukeko
la
rose
matshingi
muke
wangu,
VININATH
OWAM-NYING
n'a
TSAPHNATH
Kavakatch
watoto
wangu
John
Kav
production.