Kilio
kimefika
kila
kona
ya
Durba
Nuru
ya
nyumba
imezima
Sergine,
mbona
umetuacha?
Tunakutafuta
hatuoni,
mupendwa
Rogé
anauliza
mbinguni,
Kiti
kiko
wazi,
meza
haina
furaha
Uliacha
watoto,
Jipsone
Na
Vastie
mdogo,
wanalia
kila
siku
Kayaenga
inatetemeka
kwa
huzuni
nguzo,
ulikua
mwanga
wa
kila
Sauti
yako
ilikua
faraja
katika
Sasa
tunasikiliza
ukimya
wa
milele
Nenda
salama
Sergine,
Umeacha
pengo
kubwa,
hatuwezi
ziba
roho
safi
ya
Durba
Tutakukumbuka
daima,
kila
saa
na
Jina
lako
litaishi
kwenye
mioyo
yetu
Nenda
salama,
tulia
katika
amani
Kiharo
inahuzunika,
Ira
inakumbuka
Destiny
inalia,
Festo
anaomboleza
Ulikua
mumeza
wema,
mke
wa
Kila
hatua
uliyopiga
ilileta
baraka
Sasa
tunabaki
na
picha,
tunabaki
na
Kwanini
kifo
kimepiga
hodi
Kijana
Rogé
anataabika,
anashindwa
amini
Kwamba
hatuoni
tena,
hatukumbati
Nenda
salama
Sergine,
muke
wa
pengo
kubwa,
hatuwezi
ziba
roho
safi
ya
Durba
Tutakukumbuka
daima,
kila
saa
na
Jina
lako
litaishi
kwenye
mioyo
yetu
Nenda
salama,
tulia
katika
Inauma
sana,
inachoma
ndani
ya
moyo
Kutoa
pumzi
ya
mwisho
bila
kuagana
Tunakuombea
kwa
Muumba
akupe
mapumziko
Tunakuombea
uwe
mlinzi
wa
watoto
Jipsone,
Jospine,
na
Vastie
watakua
Wakitambua
mama
yao
Nenda
salama
Sergine,
muke
Umeacha
pengo
kubwa,
hatuwezi
ziba
roho
safi
ya
Durba
Tutakukumbuka
daima,
kila
saa
na
Jina
lako
litaishi
kwenye
mioyo
yetu
Nenda
salama,
tulia
katika
Lala
salama,
Sergine
Nguru
Tutakukumbuka,
tutakuenzi
daima
Kayaenga,
Rogé,
familia
yote
Nenda
salama,
nenda
salama...
(Eeh,
Sergine...
tutakukumbuka)