Wewe
ni
Mungu,
wewe
ni
Mungu
Wewe
ni
Mungu
Yesu,
wewe
ni
Mungu
Wewe
ni
Mungu,
wewe
ni
Mungu
Wewe
ni
Mungu
uuuh
Nakupa
sifa,
nakupa
sifa
Nakupa
sifa
Yesu
uuh
Nakupa
sifa,
nakupa
sifa
Wewe
ni
Mungu
uuuh
Hakuna
mwingine
kama
wewe
duniani
kote
Hakuna
mwingine
kama
wewe
Yesu
uuh
Hakuna
mwingine
kama
wewe
duniani
kote
Hakuna
mwingine
kama
wewe
Yesu
Uliacha
utukufu
wako
juu
mbinguni
Kafanyika
mwanadamu
ili
niokolewe
eeh
Ulifanyika
laana
ili
mimi
nibarikiwe
Ulidharauliwa
ili
mimi
niheshimike
Hakuna
mwingine
kama
wewe
duniani
kote
Hakuna
mwingine
kama
wewe
Yesu
uuh
Hakuna
mwingine
kama
wewe
duniani
kote
Hakuna
mwingine
kama
wewe
Yesu
Na
kwa
mapigo
yako
ninao
ukombozi
Sifa
zote
ni
zako,
Bwana
wa
mabwana
Utukufu
na
heshima
ni
vyako
milele
Yesu,
hakuna
mwingine
kama
wewe
Sifa
zangu
nazileta
mbele
zako
Maana
wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwaminifu
Hakuna
kama
wewe,
kimbilio
langu
Yesu,
wewe
ni
Mungu
wa
kweli
Hakuna
mwingine
kama
wewe
duniani
kote
Hakuna
mwingine
kama
wewe
Yesu
uuh
Hakuna
mwingine
kama
wewe
duniani
kote
Hakuna
mwingine
kama
wewe
Yesu
Nakupa
sifa,
wewe
ni
Mungu
Hakuna
kama
wewe,
Yesu
Utukufu
wote
ni
wako
Amen,
Amen,
Amen