Mwanaidi,
mama
yangu
mpendwa
Ulitupambania
kwa
nguvu
zote,
hatukujua
Nakumbuka
zile
siku
za
giza
na
jua
kali
Tuliamka
usiku
wa
manane
kwenda
shambani
Tukiwa
wadogo,
mikono
yetu
ikihangaika
na
udongo
Nilikuwa
nikilia,
nikihisi
mateso
ya
ulimwengu
Sikujua
mama,
ulikuwa
unanijenga
kuwa
jabali
Ulinifundisha
kuwa
maisha
ni
pambano
la
kweli
Ulitupa
jasho,
ulitupa
tumaini
la
kesho
Ingawa
mgongo
wangu
ulikuwa
ukiuma
kwa
kuchoka
sana
Mwanaidi,
mama
yangu
mpendwa
Ulitupambania
kwa
nguvu
zote,
hatukujua
Sasa
naona
thamani
ya
machozi
yako
na
jasho
lako
Ulinifundisha
kuishi,
ulinifundisha
kupambana
Upo
moyoni
mwangu,
Mwanaidi
wangu
wa
pekee
Nitazishika
hekima
zako
zote
daima
Shuleni
walimu
walituchapa
kwa
kusinzia
darasani
Haikuwa
uvivu,
ilikuwa
njaa
na
uchovu
wa
jana
Nyakati
nyingine
hatukula,
tumbo
liliunguruma
Lakini
wewe
mama,
ulitupa
maneno
ya
faraja
Ulisema "
mwanangu,
hii
ni
hatua
ya
mafanikio"
Uliificha
njaa
yako
ili
mimi
nipate
kusonga
mbele
Ulikuwa
nguzo,
ulikuwa
mwanga
wa
kweli
Ulinifundisha
kuvumilia
hata
dhoruba
zikivuma
Mwanaidi,
mama
yangu
mpendwa
Ulitupambania
kwa
nguvu
zote,
hatukujua
Sasa
naona
thamani
ya
machozi
yako
na
jasho
lako
Ulinifundisha
kuishi,
ulinifundisha
kupambana
Upo
moyoni
mwangu,
Mwanaidi
wangu
wa
pekee
Nitazishika
hekima
zako
zote
daima
Miaka
saba
ya
ugonjwa,
ulipambana
bila
kukata
tamaa
Ukaondoka
mwezi
wa
pili,
nikaachwa
na
hofu
kubwa
Sijui
kama
nitaweza
bila
sauti
yako
ya
hekima
Lakini
wosia
wako
unanipa
nguvu
kila
siku "
Ishi
na
watu
vizuri,"
hilo
ndilo
agano
langu
Nitakulinda
heshima
yako,
mama
yangu
Mwanaidi,
mama
yangu
mpendwa
Ulitupambania
kwa
nguvu
zote,
hatukujua
Sasa
naona
thamani
ya
machozi
yako
na
jasho
lako
Ulinifundisha
kuishi,
ulinifundisha
kupambana
Upo
moyoni
mwangu,
Mwanaidi
wangu
wa
pekee
Nitazishika
hekima
zako
zote
daima
Lala
salama,
Mwanaidi
Ulipambana,
umeshinda
Nitaishi
kama
ulivyoniambia
Nitashikamana
na
jamii,
kwa
heshima
na
upendo
Ahsante
kwa
kila
kitu,
mama
Ahsante
kwa
kila
kitu,
mama (
Mwanaidi...
tutakukumbuka
daima) (
Pumzika
kwa
amani)