Frobits
🎵 A song made on Frobits

Wimbo Ni Wako Mungu

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

Ninao

wimbo

mpya

wa

kumuimbia

Mungu

Ametenda

yaliyo

mema,

ametenda

makuu

Zawadi

yake

ni

uzima,

zawadi

ya

thamani

Upendo

wake

na

heshima,

nitavienzi

daima

Wimbo

ni

wako

Mungu,

nakupa

sifa

zote

Katika

shida

na

neema,

nitauimba

daima

Sifa

ni

zako

Mungu,

Pokea

utukufu

Yesu

wewe

ni

mwema,

nakutukuza

daima

Kama

Bwana

ungehesabu

makosa

yangu

Sidhani

kama

ningekuwepo,

nisingekuwa

hapa

Bali

neema

na

uzima

wako

vyanikosha

Ndio

maana

nakuimbia,

kwa

moyo

wote

Bwana

Wimbo

ni

wako

Mungu,

nakupa

sifa

zote

Katika

shida

na

neema,

nitauimba

daima

Sifa

ni

zako

Mungu,

Pokea

utukufu

Yesu

wewe

ni

mwema,

nakutukuza

daima

Nakuomba

nisamehe

ninapokosa

Nikianguka

niinue,

Bwana

nishike

mkono

Asante

Bwana

kwa

upendo

usiochoka

Pokea

wimbo

huu,

nimekuimbia

kwa

upendo

Baraka

zako

ziko

kila

mahali

kwangu

Umenilinda,

umenipa

tumaini

jipya

Sitoacha

kukuimbia,

sitaacha

kukuabudu

Maana

wewe

ni

mwamba

wangu,

Bwana

wa

mabwana

Wimbo

ni

wako

Mungu,

nakupa

sifa

zote

Katika

shida

na

neema,

nitauimba

daima

Sifa

ni

zako

Mungu,

Pokea

utukufu

Yesu

wewe

ni

mwema,

nakutukuza

daima

Pokea

wimbo

huu

Mungu

Ni

wako

peke

yako

Asante

Bwana,

Amen

Sifa

na

utukufu

ni

vyako

milele

More songs by jacson Listen to songs created by others
FROBITS