Frobits
🎵 A song made on Frobits

Sijasahau - Safari Yangu

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

sijasahau ,

sijasahau

na

sitosahaaauuu

maumivu

nimengi ,

tunapita

kwa

kila

namna

unaweza

sahau

msingi

lakini

hisia

zikasomana

hatua

ya

kweli

inaongozwa

na

maumivu

ya

moyo

sili

mfupa

sili

nyama

me

kibogoooyo

aahhh

aahhh

naikumbuka

vyema

ile

siku

ya

show

ukumbi

wa

starehe

ukijaa

watoto

kibao

lkn

wote

ndani

walikuwa

na

watu

wao

aliyekosa

ni

mimi

wakwangu

alishindwa

toka

kwao

ikapita

masaa

kibao

shauku

ya

kuwa

pale

na

wanangu

ikaniisha

naaga

kwa

huzuni

naita

tax

kukodisha

alone

mwamba

nahitimisha

majira

utulivu

ziro

sina

furaha

waka

sina

hasira

nasogea

sogea

pembeni

kilichotokea

sikuamini

wangu

mwandani

kakumbatwa

na

wake

wa

zamani

aikuwa

salmin.

anajiita

kambi

salumin

namuuliza

hii

ni

nini

akanijibu

subir

kwanza

kwani

nini

namshika

kwanguvu

anatema

cheche

mdomoni

ulikuja

nanani

uondoke

namimi

ooohh

NASHINDWA.

KUELEWAAAA

NASKIA

CHUNGU

SANA

sijasahau ,

sijasahau

na

sitosahaaauuu

maumivu

nimengi ,

tunapita

kwa

kila

namna

unaweza

sahau

msingi

lakini

hisia

zikasomana

hatua

ya

kweli

inaongozwa

na

maumivu

ya

moyo

sili

mfupa

sili

nyama

me

kibogoooyo

nikarudi

mdogo

mdogo

nasema

na

moyo

wangu

labda

nilikosea

kitu

kwa

mpenzi

wangu

lkn

hapana

alisema

sio

mtokaji

niende

pekeangu

siamini

nilichokiona

show

ya

sele

afande

imenikagawa

moyoni

vipande

vipande

narudi

huku

nalia

machungu

nayoskia

moyoni

naumia

nikiwaza

imani

niliompatia

nikifikiria

muda

niliomvumilia

naongeza

na

gharama

nilizotumia

nashika

kichwa

nalia ,

fikra

kubwa

umri

mdogo

nikasema

mapenzi

niyape

kisogo

kama.

ilivyo

ada

mungu

hamtupi

mja

wake

kila

jambo

huja

na

wakati

wake

muda

kadhaa

mbele

miezi

michache

natoka

zangu

job

nasogea

mitaa

yakati

nasogea

sogea

sokoni

mafinga

kati

safari

iliishia

kati

namuona

dada

mrembo

maji

ya

kati

umbo

lake

sio

tisa

wala

nane

size

yakati

nikasogea

we

dada

salamu

itikia

pole

na

baridi

kali

mbona

umejiinamia

usijari

agiza

hata

chai

itakuasaidia

dada

kajibu

sina

koti

wla

pesa

pia

kama.

ntaagiza

chai

ni

deni

la

kujitakia

ooohhh

bas

usijar

me

ntakipia

kama

haitoshi

na

koti

nitanunua

ahsante

mungu

umenifungua

macho

natamani

kuamini

nikionacho

dada

mrembo

sio

tu

kwamacho

lkn

anaraki

ya

kaprikacho

alitwa

sauda

sio

mwenyeji

wa

enea

nae

ni

wakuja

kuuliza

anatoka

wapi

kwao

ifunda

sijasahau ,

sijasahau

na

sitosahaaauuu

maumivu

nimengi ,

tunapita

kwa

kila

namna

unaweza

sahau

msingi

lakini

hisia

zikasomana

hatua

ya

kweli

inaongozwa

na

maumivu

ya

moyo

sili

mfupa

sili

nyama

me

kibogoooyo

picha

linaanza

sauda

unaishi

wapi

daah

sina

maisha

popote

naishi

mimi

nakaa

kwamshkaji

naye

anamshkaji

akija

mshikajai

mimi

ni

mtokaji

nina

ndugu

siko

sawa

nao

wako

busy

pia

na

maisha

yao

mimi.

kama

mimi

naishi

kwa

kudra

za

mungu

nitapokuwa

kesho

sijui

mimi

anayejua

kula

yangu

ni

muumbaji

wangu

mimi

alhamdulillah

nashusha

pumzi

namkumbatia

pole

nyingi

nampatia

sauda

tulia

nitasimama

na

wewe

kila

hatua

kama

hutojar

kwangu

karibia

O,

M,

G

akajibu

kwako

napajua

na

ww

nakujua

unapoishi

unaishi

na

ndugu

zangu

pia

zai

na

halima

ni

ndugu

zangu

unaju

hvyo

sory

suley

kwako

siwez

hamia

lkn

kwa

msaada

tofauti

nitapokea

bas

kwa

force

nikatumia

na

nguvu

nikeongezea

sauda

kwangu

akaahamia

udugu

wao

ukarejea

furaha

ikaendelea

haikupita

muda

salumu

tena

akaingia

boss

akamtumia

sauda

wangu

wakamchukua

nilitamani

kuua

mungu

alinipa

ujasiri

kazi

nikaiachilia

bongo

dizim

jiji

nikahamia

hapo

safari

yangu

kisoka

ikaanzia

mama

aliniuliza

yuko

wapi

sauda

nimemisi

kumsikia

dar

umehamia

mlete

sauda

rujewa

nitakutunzia

sikua

na

jibu

la

kumpa

mama

mola

akujaalie

mahala

pema

mama

sio

juzi

jana

walaa

kesho

sauda

ananijia

akilini

ananiuliza

maswali

nakosa

majibu

namuomba

mola

asimuadhibu

ni

srory

kweli

mengine

siwezi

simulia

mimi

nilipotea

lkn

sauda

alitokomea

maisha

yake

yakazingua

nakumbua

ile

siku

nipo

stand

kuu

mafinga

alikuja

sauda

akiwa

na

mimba

alichotamka

sele

msamaha

nakuomba

sina

jinsi

nimeshindwa

nilikuona

kawaida

kujishika

nikashindwa

mimi

sauda

nalia

nakulialia

wewe

umeenda

sijui

kama.

utanisamehe

mwanangu

ukampenda

akikuita

baba

ukaitika

popote

nitakwenda

kwajili

yako

naumia.

kwajili

yako

nalia

nimeharibu

nimekosea

sio

siri

moyoni

najua

Mola

akujallie

sele

nakuombea

More songs by Suleysh_7 Listen to songs created by others
FROBITS