Frobits
🎵 A song made on Frobits

Tutaonana Tena Alex Simba

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

Alex

Simba,

(Oh,

goodbye)

Bona

sasa

uliamua

kuenda

mapema?

Bona

ulikua

na

haraka

ya

kuondoka

Kwanini

haungekakaa

na

sisi

Alex

Simba,

our

only

Endelea

kupumzika

mahali

peponi

Alex

Simba,

(Mmm,

yeah)

Tutaonana

tena,

tutaonana

Alex

Simba,

tutaonana

tena

Tulikupenda

sana

brother,

lakini

mbingu

ikakupenda

Jienjoy

uko

binguni,

(Oh,

yeah,

mmm)

Nakumbuka

kicheko

tulikua

tunacheka

pamoja

Nakumbuka

happy

moments

we

had

together

wa

dugu

na

dada

haukua

na

mfano

Kuondoka

kwako

kumeniachia

kidoda

(I

need

you,

brother)

Tutaonana

tena,

tutaonana

badae

Alex

Simba,

tutaonana

tena

Tulikupenda

sana

brother,

lakini

mbingu

ikakupenda

Jienjoy

uko

binguni,

tutaonana

tena

Basi

si

hata

afadhali

ningeenda

Ama

basi

tungeenda

sisi

Bona

uende

(Oh,

mmm,

tutaonana)

Uliacha

pengo

kubwa

ndani

ya

mioyo

uko

mahali

salama

zaidi

Tunashikilia

kumbukumbu

Alex

Simba,

tutaonana

tena

kwenye

(Yeah,

yeah)

Tutaonana

tena,

tutaonana

Alex

Simba,

tutaonana

tena

Tulikupenda

sana

brother,

lakini

mbingu

ikakupenda

Jienjoy

uko

binguni,

tutaonana

tena

Machozi

yamekataa

kukauka

machoni

mwangu

Kila

siku

kilio,

nimeshidwa

kukusahau

Picha

yako

bado

ipo

akilini

kama

tulikua

na

wewe

Nikilala

nasikia

ukiniita

Mmmm

nalia,

mmmmm

nalia..

Nalia

Enda

salama

bro.

Enda

upumzike

salama

Salimiana

mbinguni,

tuko

jiani

pia

sisi

tena.

Mmmmmm

bro....

Tutaonana

tena,

Alex

(Mmm,

pumzika

kwa

amani)

Lazima

tutakuja

kuonana

tena

(Oh,

yeah,

tutaonana

badae)

Tunakupenda

milele,

bro.

(Mmm,

yeah)

More songs by DJ Listen to songs created by others
FROBITS