(Yeah,
uh)
Moyo
unajua,
njia
ipo
Hata
gizani,
mwanga
upo
Sikiliza,
imani
ndio
silaha (
Uh,
Baba)
Umeniahidi
utaweka
njia
Umeniahidi
Yesu
utaweka
njia
Pamoja
na
hili
jaribu
ninalopitia
Kwa
msaada
wako
Baba
Nitapata
njia
Umeniahidi
utaweka
njia
Umeniahidi
Yesu
utaweka
njia
Pamoja
na
hili
jaribu
ninalopitia
Kwa
msaada
wako
Baba
Nitapata
njia
Neno
lako
lasema,
ndilo
mwongozo
Naliweka
mbele,
mimi
sina
hofu
wala
mizozo
Jaribu
lolote
halikuwapata
ninyi
Isipokua
lililo
kawaida
ya
wanadamu
miongoni
mwetu
Ila
Mungu
ni
Mwaminifu,
anajua
udhaifu
Hataacha
mjaribiwe
kupita
mwezavyo,
mkidumu
kumsifu
Lakini
pamoja
na
lile
jaribu
atafanya
mlango
Wa
kutokea,
ili
mweze
kustahimili
kila
mtego
Nainuka,
nasimama,
silaha
zangu
ni
Neno
Shetani
anajaribu,
anapanga
zake
neno
Lakini
mimi
niko
imara,
ninatazama
juu
Kila
giza
linapita,
mwanga
unakuja
mkuu
Umeniahidi
utaweka
njia
Umeniahidi
Yesu
utaweka
njia
Pamoja
na
hili
jaribu
ninalopitia
Kwa
msaada
wako
Baba
Nitapata
njia
Umeniahidi
utaweka
njia
Umeniahidi
Yesu
utaweka
njia
Pamoja
na
hili
jaribu
ninalopitia
Kwa
msaada
wako
Baba
Nitapata
njia
Neno
lako
lasema
ndugu
hesabuni
kua
ni
furaha
tupu
Mkiangukia
katika
majaribu
mbalimbali,
iwe
mchana
au
usiku
Mkifahamu
ya
kua
kujaribiwa
kwa
Imani
yenu
huleta
saburi
Saburi
iwe
na
kazi
kamilifu,
mwe
wakamilifu
wenye
kusubiri
Watimilifu
bila
kupungukiwa
neno,
ndiyo
ahadi
Maisha
ni
safari,
lakini
ushindi
tunao
zaidi
Maana
Yesu
yupo,
kiongozi
wangu
wa
kweli
Njia
anaiweka,
anavunja
kila
kuta
za
mbeleni
Sijawahi
kumuona
mwenye
haki
akiachwa
peke
yake
Baraka
zake
ni
tele,
na
ahadi
zake
ni
zake
Natazama
mbele,
nyuma
nimeacha
kisita
Yesu
ananiita,
ni
wakati
wa
kusimama
na
kuitika
Umeniahidi
utaweka
njia
Umeniahidi
Yesu
utaweka
njia
Pamoja
na
hili
jaribu
ninalopitia
Kwa
msaada
wako
Baba
Nitapata
njia
Umeniahidi
utaweka
njia
Umeniahidi
Yesu
utaweka
njia
Pamoja
na
hili
jaribu
ninalopitia
Kwa
msaada
wako
Baba
Nitapata
njia
Siogopi,
sitetereki,
maana
wewe
upo
nami
Njia
unayoifungua,
ni
kuu
na
ninaiamini
Kila
shida
ni
hatua,
kila
jaribu
ni
daraja
Kama
dhahabu
motoni,
Ndivyo
nasafishwa
ninang'ara (
Umeniahidi)
Nitafika
salama,
ahadi
zako
zimetimia
Umeniahidi,
nami
nimeshika
Njia
unayo,
hutaniangusha
Njia
unayo,
hutaniangusha (
Yesu,
wewe
ni
njia) (
Umeniahidi)
Nitafika
salama,
ahadi
zako
zimetimia
Ni
Siri
ya
imani,
baraka
tele (
Yeah,
uh)