[male vocals] Jimmy
jimmy
star
Yeeh
yaaaaaah
Naona
moyo
wangu
umeutupa
chini
Yeeeeh
yeh
yaaaah
Kwa
Aya
mapenzi
silazimishii
najua
unalinga
na
wako
uzurii
Wewe
umekua
sio
mpishii
unatoka
boko
Na
Wala
ujarii
Siku
sikiliza
ndugu
Umenifanya
ni
jutee
Dunia
initete
Umenifanya
niwe
roho
mbaya
nikuombee
mabaya
yakukutee
Umefanyaa
mapenzii
Niya
chukiee
Sikulala
sikula
sikunywa
sikuvaa
Nilikua
naongea
najiuliza
mwenyewe
kama
kichaa
Natafuta
kosa
kipinimefanya
nikakutia
nyongo
ukanikachaa
Tuliambiwa
mapenzii
ni
shida
na
Rahaa
Mbona
sisi
tulikua
tumesha
pita
shida
sasa
ni
Raha
Au
mapenz
yangu
yalikua
kama
bigijii
ukayatafuna
yakaisha
radhaaa
Naa
naa
why
umenitenda
Naa
naa
why
umeniumiza
Naa
naa
umenifanya
nichukie
mapenz
Naa
naa
why
umenikimbia
mimi
Naa
naa
why
umeniacha
mimi
Naa
naa
umenifanya
nichukie
mapenz
Ulisema
nisiwe
na
wasiwasi
nituliee
Dunia
nzima
inigeuke
utabaki
namiee
Umetumwa
na
MUNGU
unifute
machozi
nisiliee
Kumbe
ni
shetani
ulietaka
roho
yangu
uniuee
Mpenz
kuvumilianaa
kupendana
ila
kwako
nikutukananaa
Sikuraumu
peke
ako
najua
mariki
ndugu
zako
walikushawishi
sanaa
Ukaona
Sina
mahanaaaa
Nilijishushaa
nikakuskilizaa
nikakupendaa
Hatakama
ilikua
inaniumiza
nilitenda
Hata
tulivyokua
mbali
unalewa
club
na
wanaumewengine
skuacha
kukupenda
Ila
basi
naa
no
no
basi
nendaa
Naa
naa
why
umenitenda
Naa
naa
why
umeniumiza
Naa
naa
umenifanya
nichukie
mapenzi
Naa
naa
why
umenikimbia
mimi
Naa
naa
why
umeniacha
mimi
Naa
naa
umenifanya
nichukie
mapenz
Yeeh
yaaaaah
Naona
moyo
wangu
umeubwaga
chini
Yeeeeh
yeh
yaaaaaah
Jimmy
jimmy
Jimmy
star
Kama
mapenzi
safiri
Basi
niliishiwa
nauli
Umekimbia
ndoa
Bora
uwe
changudoa
Ulichokosa
kwangu
sjui
kama
utapa
uko
Nilikupa
moyo
wangu
ukabaki
na
wako
Nilidata
na
uzuri
kumbe
ndani
yake
kiburi
Niliona
nitafaidi
asali
kumbe
shubiri
Sitaki
nenda
Najuta
kupenda
Wasio
kujua
wataona
gold
Kumbe
nyumba
yakupanga
inatakiwa
Kodi
Umekua
kama
geti
kila
mtu
anagonga
hodi
Jimmy
star