Frobits
🎵 A song made on Frobits

It Is You (Remix)

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male

vocals] (

Oh-oh,

yeah)

Ni

wewe,

tu

pekee

yako

Kipenzi

changu,

mwanga

wa

macho

yangu

Sikiliza

moyo

unavyosema

Kipenzi

changu

nakupenda

Kamwe

sitokutenda

Napopote

ntakapokwenda

Moyoni

ntakuweka,

nsije

kupoteza

Nakadri

siku

zinavokwenda

Upendo

wangu

kwako

unazidi

panda

So

husichoke

izi

taabu

na

shida

Zidisha

tu

maombi

nasi

tutapata

Ni

wewe,

kipenzi

changu

ni

wewe

Furaha

yangu

ni

wewe

Tabasamu

langu

ni

wewe

Unaejua

maumivu

ya

moyo

wangu

Ni

wewe,

kichunga

changu

ni

wewe

Amani

yangu

ni

wewe

Faraja

yangu

ni

wewe

Nakupenda

sana

kipenzi

changu

Ila

nakusihi,

chunga

wako

mashoga

Marafiki,

husiwapatie

nafasi

Yakuchunguza

mambo

yako

binafsi

Wivu

wao

usivunje

letu

ramani

Tumejenga

nyumba

juu

ya

mwamba

Sauti

yako

ndio

dawa

ya

machungu

Kwenye

dhoruba

wewe

ndio

nguzo

Sitakuacha

kamwe,

hili

ni

agano

Ni

wewe,

kipenzi

changu

ni

wewe

Furaha

yangu

ni

wewe

Tabasamu

langu

ni

wewe

Unaejua

maumivu

ya

moyo

wangu

Ni

wewe,

kichunga

changu

ni

wewe

Amani

yangu

ni

wewe

Faraja

yangu

ni

wewe

Nakupenda

sana

kipenzi

changu

Kama

mwezi

unavyoangaza

giza

Ndivyo

unavyonipa

nuru

maishani

Sihitaji

mwingine,

uko

kwangu

kiza

Umeniteka

roho,

nimefunga

ndani

Kila

sekunde,

kila

dakika

Nataka

kuwa

nawe,

usije

ukashuka

Ni

wewe,

kipenzi

changu

ni

wewe

Furaha

yangu

ni

wewe

Tabasamu

langu

ni

wewe

Unaejua

maumivu

ya

moyo

wangu

Ni

wewe,

kichunga

changu

ni

wewe

Amani

yangu

ni

wewe

Faraja

yangu

ni

wewe

Nakupenda

sana

kipenzi

changu

Ni

wewe

tu,

daima

milele

Kipenzi

changu,

amani

yangu

Nasema

nakupenda,

sikilizaa

Ni

wewe... (

Fade

out)

More songs by Eddy Listen to songs created by others
FROBITS