[male vocals] Yeah,
ah,
sikiliza
Siku
zote
tumepambana,
mmmm
Haijawahi
kuwa
rahisi,
kila
hatua
ni
vita
Tukikwama
tunainuka,
hatujawahi
kusita
Barabara
ina
miiba,
lakini
tunakanyaga
Leo
tunasherehekea,
hatuna
cha
kuogopa
Ndoto
zina
rangi,
tunaziona
zikichomoza
Kila
jasho
tunalotoa,
linatufungulia
njia
Haijawahi
kuwa
rahisi,
lakini
tuko
hapa
Tunacheza,
tunang'ara,
mwanga
unatuangazia
Haijawahi
kuwa
rahisi,
tumevuka
kila
shimo
Leo
ni
yetu,
sherehe
mpaka
asubuhi
Kumbuka
tulipotoka,
wengi
walisema
hapana
Lakini
sisi
ni
miamba,
hatuyumbishwi
na
upepo
Sauti
zetu
juu,
tunazidisha
kasi
Kila
sekunde
ni
dhahabu,
tunaitumia
vizuri
Oh,
jinsi
tunavyosogea,
dunia
inatuangalia
Haijawahi
kuwa
rahisi,
bado
tupo
hapa
hatujawahi
kushinda
suhindibwa
karne.
lkn
bado
tunasimama
imara
mara
nane
tunaanguka
mara
saba
tunainuka
mara
nane
dna
na
vina
saba ...
ilishagoma
tusifanane
Si
rahisi,
si
rahisi,
lakini
tunashinda
Si
rahisi,
si
rahisi,
tunakwenda
juu
Come
here,
let
me
show
you
how
we
do
it
Tunang'ara
zaidi,
hakuna
kurudi
nyuma
Kila
goti
la
mchezaji,
limebeba
historia
Tunafurahia
sasa,
tumeandika
ushindi
Haijawahi
kuwa
rahisi,
ndio
maana
tunafurahia
kamwe.
siwez
sahau
ile
safari
wanasema
safari
moja
huanzisha
ya
pili
ila
yangu
haijawahi
kua
fahari
nakumbuka
ugumu
wa
safari
haikuwa
tabir
ila
niliacha
kandambili
nimekwama
mara
nyingi
hadi
nikajiita
msafiri
msafiri
asiye
kafiri
msafiri
asiye
na
kauli
kauli
ikaninyima
desturi
nakabaki
kuwa
jeuri
jeuri
mwenye
akili
aakili
ikaona
mbali
kila
nilichopata
niliongeza
sifuri
ooohhh
haijawahibkuwa
rahisi
kiburi
si
unga
unga
mwana
bali
kiburi
ni
mjukuu
wa
maulana
ukisimama
imara
unaibuka
kinara
wekeza
akiri
ndani
ya
kiburi
haijawahi
kuwa
rahisi
mwaka
mmoja
kama
muosha
magari
kula
kullala
haijulikani
nikipata
sana
nalala
kwenye
magari
ikichange
powa
nahamia
kwenye
maroli
nauza
mafuta
mafinga
totali
familia
haijui
ndugu
hawanitambui
sina
msaaada
wa
kaka
wala
mama
naita
kulia
baba
naitika
kushoto
mama
pigo
kubwa
alipiga
UDA
ksilimu
anaita
maaisha
salum
kampotosha
mwandani
akafungisha
haikuwa
rahisi
mimi
kama
mimi
pale
kuishi
maumivu
ya
moooyo
yameleta
hasira
utasmama
upendo
wakweli
hauishi
tunafuta
maumivu
tunabakisha
makovu
tunafanya
urembo
kwemyw
makovu
furaha
itawale
MANANI
ATABLESS
DAIMA
Haijawahi
kuwa
rahisi,
lakini
tuko
hapa
Tunacheza,
tunang'ara,
mwanga
unatuangazia
Haijawahi
kuwa
rahisi,
tumevuka
kila
shimo
Leo
ni
yetu,
sherehe
mpaka
asubuhi,
baby
Iwe
iwe,
haijawahi
kuwa
rahisi
Lakini
tupo
hapa,
tunaangaza
Yeah,
mmm,
sherehe,
baby
Haijawahi
kuwa
rahisi,
tushinde!
eyooo
poison
master
apa
wanamuitaha
suley
uhuru
big
mshua
aka
dadie
suley