Uhimidiwe,
uhimidiwe
Bwana
Sifa
zikufikie,
tunashangilia
Ni
wewe
tu,
ni
wewe
tu
Bwana
wa
mabwana,
uhimidiwe
Nitakuhimidi
Bwana
kila
wakati
Sifa
zako
ziko
kinywani
mwangu
daima
Katika
BWANA
nafsi
yangu
inajisifu
sasa
Wanyenyekevu
wasikie,
waanze
kufurahi
Wakutukuze
Bwana
wote
pamoja
nami
Tuliadhimishe
jina
lako
takatifu
Maana
nalikutafuta,
wewe
umenijibu
Umeniponya
hofu
zangu
zote,
niko
huru
Wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwema
Wewe
ni
mwema,
mungu
uliyeumba
mbingu
na
nchi
Uhimidiwe,
uhimidiwe
milele
Zidi
kutawala,
sifa
zako
zifike
mbali
Wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwema
Uhimidiwe,
uhimidiwe
mbinguni
na
duniani
Uliniambia
nikutumaini,
nikatende
mema
Nikae
katika
nchi,
nipendezwe
na
uaminifu
Nami
nitajifurahisha
katika
Bwana
Nawe
umenipa
haja
zote
za
moyo
wangu
Nikakukabidhi
njia
yangu,
ukaongoza
hatua
Nami
nikakutumaini,
nawe
umefanya
Umejibu
maombi,
sasa
niko
juu
ya
mlima
Sifa
kwa
Mungu,
hakuna
kama
wewe
Bwana
Wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwema
Wewe
ni
mwema,
mungu
uliyeumba
mbingu
na
nchi
Uhimidiwe,
uhimidiwe
milele
Zidi
kutawala,
sifa
zako
zifike
mbali
Wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwema
Uhimidiwe,
uhimidiwe
mbinguni
na
duniani
Kila
goti
litapigwa,
kila
ulimi
utakiri
Kwamba
wewe
ni
Mungu,
wewe
ni
mwamba
Sifa
zako
zikivuma,
tunaruka
kwa
furaha
Huu
ni
wakati
wa
utukufu,
wakati
wa
ushindi
Uhimidiwe,
uhimidiwe,
uhimidiwe!
Wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwema
Wewe
ni
mwema,
mungu
uliyeumba
mbingu
na
nchi
Uhimidiwe,
uhimidiwe
milele
Zidi
kutawala,
sifa
zako
zifike
mbali
Wewe
ni
mwema,
wewe
ni
mwema
Uhimidiwe,
uhimidiwe
mbinguni
na
duniani
Uhimidiwe,
uhimidiwe
Bwana
Sifa
zikufikie,
tunashangilia
Uhimidiwe,
uhimidiwe
Bwana
Sifa
zikufikie,
tunashangilia
Ni
wewe
tu,
ni
wewe
tu
Bwana
wa
mabwana,
uhimidiwe
Yeah,
tunakusifu
daima
Uhimidiwe!