[male vocals] Mmm,
yeah,
Alexi
Kambale
hapa
Kwa
ajili
yenu,
Papa
na
Mama
Kama
leo
niko
salama,
ni
kwa
sababu
yenu
ninyi
Uvumilivu
mliounyesha,
umenijenga
mimi
ndani
Papa
Kadima,
nguzo
yangu
katika
kila
jambo
Ulinifunza
heshima
na
jinsi
ya
kusimama
imara
Mama
Kanyere,
wewe
ni
chemchemi
ya
baraka
Upendo
wako
hauna
mipaka,
ulinilea
kwa
umakini
Mimi
Alexi
kambale
sina
ya
kusema
nasema
asante
eeeeeh
Uyu
ndiye
baba
ngu
eeee,
heshima
kwako
Papa
Kadima
Uyu
ndiye
mama
ngu
eeee,
heshima
kwako
Mama
Kanyere
furaha
Ooooh
maman,
ni
mama,
ni
mupate
wapi
aliye
kama
mama
Mama
eeh
Mama
Kanyere
furaha,
asante
kuni
zaa
Leo
naitwa
kwa
heshima,
kwa
sababu
yako
mama
Mama
eeh
mama,
heshima
kwako
mama (
Trompette
douce)
Machozi
yenu,
jasho
lenu,
yote
yalikuwa
kwa
ajili
yangu
Mlinipa
mwongozo,
mkanionyesha
njia
ya
nuru
Papa,
hekima
zako
zimebaki
ndani
ya
moyo
wangu
Kila
hatua
ninayopiga,
naona
sura
zenu
zikicheka
Kama
nimefika
hapa,
ni
kwa
sababu
mliamini
mimi
Mbarikiwe
sana,
kwa
safari
hii
nzima
ya
maisha
Mimi
Alexi
kambale
sina
ya
kusema
nasema
asante
eeeeeh
Uyu
ndiye
baba
ngu
eeee,
heshima
kwako
Papa
Kadima
Uyu
ndiye
mama
ngu
eeee,
heshima
kwako
Mama
Kanyere
furaha
Ooooh
maman,
ni
mama,
ni
mupate
wapi
aliye
kama
mama
Mama
eeh
Mama
Kanyere
furaha,
asante
kuni
zaa
Leo
naitwa
kwa
heshima,
kwa
sababu
yako
mama
Mama
eeh
mama,
heshima
kwako
mama
Siwezi
kulipa
fadhila,
mliyonipa
tangu
utoto,
nama
ivuka
etchiro
navya
mwana
mulere
mama
waye
Kanyere
wavya
uka
niha
vyalia
namanza
nanyia
muvyo
ila
iwe
wavya
uka
ni
bembelesaya
kutchivu,
lino
naviri
kula
si
ngwithe
veri
kuha
mama
O
Mungu
akuhe
a
maisha
marefu
Alexi
Kambale
anasema
asante,
mungu
awape
maisha
marefu
Mapenzi
yenu
kwangu,
ni
hazina
isiyoisha
Mimi
Alexi
kambale
sina
ya
kusema
nasema
asante
eeeeeh
Uyu
ndiye
baba
ngu
eeee,
heshima
kwako
Papa
Kadima
Uyu
ndiye
mama
ngu
eeee,
heshima
kwako
Mama
Kanyere
furaha
Ooooh
maman,
ni
mama,
ni
mupate
wapi
aliye
kama
mama
Mama
eeh
Mama
Kanyere
furaha,
asante
kuni
zaa
Leo
naitwa
kwa
heshima,
kwa
sababu
yako
mama
Mama
eeh
mama,
heshima
kwako
mama
Wimbo
wa
wazazi
wangu,
oh
John
kasereka
na
boutique
Sanafar
furahia
mzazi
wako,
sharline
furahia
baba
na
mama
yako,
Boss
Dany
Kinanga
merci !
Yeah,
Papa
Kadima
na
Mama
Kanyere
furaha