Frobits
🎵 A song made on Frobits

Mungu Yupo Kwa Jirani

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

Haleluyaaaa,

nisikilize

mpendwa

wangu

nikuambie

maneno

haya

Maisha

ni

safari

ndefu

mno!

Nimeona

mambo

mengi

sana,

na

dunia

ina

siri

nyingi

sana.

Mimi

Mchungaji

Mwandandila

Kwa

miaka

hii

michache

aliyo

nipa

Mungu,

nimejifunza

mengi

Nilitafuta

kumuona

Mungu,

nikatafuta

uso

wake

anafananaje.

Nikadhani

labda

huyu

Mungu

atashuka

mawinguni

nimuone,

kwa

utukufu

wake

Lakini

sikuona,

nikabaki

na

maswali

moyoni

Nikajiuliza

huyu

Mungu

yuko

wapi

katika

sayari

hii

itwayo

dunia.

Nikabaini

kuwa

Mungu

yupo

pmoja

na

mimi

siku

zoote

Anatembea

na

mimi

kila

siku

barabarani

Kumbe

hayuko

mbali

kama

nilivyofikiri

hapo

kabli,

yupo

ndani

yangu

yupo

kupitia

mke

wangu,

yupo

kupitia

watoto

wangu,

yupo

kupitia

Majirani

zangu.

Nikajifunza

kuwa

jamii

inayonizunguka

ni

vielelezo

vya

uwepo

wa

Mungu,

hapo

ndipo

utamuona

Mungu

wako...

Haya

nimejifunza

kupitia

Mathayo

ishirini

na

tano,

akanifumbua

macho

Kupitia

mistari

wa

thelathini

na

nane

mpaka

arobaini

na

sita

mistari

hii

ni

mwanga,

imeondoa

kiza

na

hofu

pale

asemapo

Nilipokuwa

na

njaa

mkanipa

chakula,

Nilivyompa

maji

kiumbe,

ndivyo

nilipokuwa

na

kiu,

mkanipatia

maji.

Haya

sikuyajua

hapo

mwanzo

kuwa

nikifanya

ninamfanyia

Mungu.

Sikujua,

sikufahamu,

nilikuwa

kipofu

wa

roho

Lakini

sasa

nimeona,

upendo

ndio

njia

na

mwongozo

Kumbe

Mungu

yupo

kupitia

jirani

yangu

Anatembea

na

wewe

kila

siku

barabarani

Usimtafute

mbali,

yupo

ndani

ya

mwenzako

Itendee

mema

jamii

inayokuzunguka,

hapo

ndipo

utamuona

Mungu

wako

Oooooh!

Mungu

yupo

kupitia

jirani

Usisubiri

maajabu

ya

mbali,

ah

ah!

Mtendee

mwenzako

wema,

hapo

utafika

mbinguni

Upendo

ni

kioo,

unapoangalia

mwenzako

Unajiona

wewe

na

unamuona

Muumba

wako

Hakika

ninakuambia?!

Huu

ndio

ukweli

mtupu

nikuambiao

leo

mimi

Mwandandila

Kila

unayekutana

naye,

ana

sura

ya

Muumba

Kama

unataka

baraka,

usimnyime

mwenzako

fursa

Fungua

mkono

wako,

fungua

moyo

wako

kwa

wote

Ukarimu

ndio

ibada,

ndio

jibu

la

maisha

yote

Sikia

mtu

wa

Mungu!

Maisha

ni

kupendana,

maisha

ni

kusaidiana

Kumbe

Mungu

yupo

kupitia

jirani

yako

Anatembea

na

wewe

kila

siku

barabarani

Usimtafute

mbali,

yupo

ndani

ya

mwenzako

Itendee

mema

jamii,

hapo

ndipo

utamuona

Mungu

wako

Maisha

ni

upendo!

Mungu

yupo

kwa

jirani

Ndiyo,

Mungu

yupo

kwa

jirani

yako

Muone

katika

matendo,

muone

katika

wema

Mpende,

mjali,

muheshimu

kila

binadamu

umuonaye

kwa

kuwa

ndiye

mfano

wa

Mungu,

maisha

ni

upendo

Ah

ah,

Mungu

yupo,

Mungu

yupo!

Nimemuona

kupitia

kwako

wewe!

More songs by Mch Listen to songs created by others
FROBITS