[male vocals] Kale
house
Empire,
Limbakale!
Ah
ah,
twende!
Anajifanya
kipofu
haoni
Amekuwa
kiziwi
asikii
Ananipanda
na
kichwani
Kumpenda
sijutii
Kama
yuko
kifungoni
Nimtapa
uhuru
wake
kimya
kimya
Ila
ajue
kaipoteza
thamani
Akisikia
ajue
sumu
inanila
kimya
kimya
Sababu
kajua
nampenda
Sababu
eti!
Namganda
Sababu
nashindwa
kwenda
Mwingine
kumpenda
Maumivu
ya
kichwa
nipe
dawa
Mpenzi
napagawa
Moyo
visa
kaugawa
Mapenzi
napagawa
Sababu
kajua
nampenda
Sababu
eti!
Namganda
Sababu
nashindwa
kwenda
Mwingine
kumpenda
Maumivu
ya
kichwa
nipe
dawa
Mpenzi
napagawa
Moyo
visa
kaugawa
Mapenzi
napagawa
Kila
nikiwaza
nateseka
Kila
nikitazama
naumia
Moyo
wangu
unachezeka
Sijui
wapi
pa
kuelekea
Umeniteka
kwenye
himaya
Sina
budi
kuishi
kwa
ndoto
Mapenzi
yako
ni
kama
kaya
Yananishika
kila
kito
Kila
kona
nakuwaza
Moyo
wangu
unalia
Sauti
yako
inanijaza
Sijui
kama
unajua
Sababu
kajua
nampenda
Sababu
eti!
Namganda
Sababu
nashindwa
kwenda
Mwingine
kumpenda
Maumivu
ya
kichwa
nipe
dawa
Mpenzi
napagawa
Moyo
visa
kaugawa
Mapenzi
napagawa
Maumivu
haya
hayanikwishi
Napagawa
na
wewe
mpenzi
Kale
house
Empire
Limbakale!
Ah
ah!