[male vocals] Denis
onyangore.
Record
Bwana:
siku
zangu,
zako
milele (
Utukufu
kwa
Mungu
mbinguni)
Mwumbaji,
Mfalme,
vitu
vyote
vyako
Ni
kwa
ukarimu
wako,
mimi
nipo
hapa
Ninabarikiwa,
ni
kwa
ukarimu
wako
Ninabarikiwa,
nakushukuru
Bwana
Ukarimu
wako
ni
mkuu,
Bwana
wangu
Sifa
zote
zikurudie
wewe
pekee
Ni
kwa
upendo
wako,
mimi
niko
salama
Bwana
u
mwema,
haleluya
Nitatoa
nini?
Kwanza
vyote
vyako
Upendo
wako
wadai
moyo
wa
shukrani
Upendo
wako
wadai
moyo
wa
shukrani
Pokea
sifa,
pokea
utukufu,
yesu
Nipewe
neema,
niwe
na
uwezo
Wa
kuishi
kwako,
Bwana
maisha
yangu
Siku
zangu,
zako,
wa
kuishi
kwako
Bwana:
siku
zangu,
zako
milele
Ukarimu
wako
ni
mkuu,
Bwana
wangu
Sifa
zote
zikurudie
wewe
pekee
Ni
kwa
upendo
wako,
mimi
niko
salama
Bwana
u
mwema,
haleluya
Nitatoa
nini?
Kwanza
vyote
vyako
Upendo
wako
wadai
moyo
wa
shukrani
Upendo
wako
wadai
moyo
wa
shukrani
Pokea
sifa,
pokea
utukufu,
yesu
Nipewe
neema,
niwe
na
uwezo
Nipewe
neema,
niwe
na
uwezo
Wa
kuishi
kwako,
Bwana
maisha
yangu
Siku
zangu,
zako,
wa
kuishi
kwako
Bwana:
siku
zangu,
zako
milele
Ukarimu
wako
ni
mkuu,
Bwana
wangu
Sifa
zote
zikurudie
wewe
pekee
Ni
kwa
upendo
wako,
mimi
niko
salama
Bwana
u
mwema,
haleluya
Siku
zangu
ni
zako (
ni
zako)
Ukarimu
wako
unanitosha (
ni
zako)
Asante
Yesu,
Amen (
Utukufu,
sifa,
heshima
kwako)
Amen
Asante
Yesu,
Amen (
Utukufu,
sifa,
heshima
kwako)
Amen