Frobits
🎵 A song made on Frobits

La Couture Ma Vie

0:000:00
Download
Reply with a song
Lyrics

[male vocals] Apana,

usi

nielezehe

niache

ihikazi,

Nononoo,

usi

niambiye

niache

ihi

Kazi,

Ihi

Kazi

yangu

Siku

ipatake

Kua

muntu,

Ihi

Kazi

yangu

Siku

isomake

apana,

Sasa

bita

Anza

djé

nikatale

ihi

Kazi,

Bitafika

djé

nju

nikatale

ihi

Kazi

Muku

komea

kwangu

nili

somaka

na

miye,

Babangu

miye

Ali

toshaka

makuta

take,

Ya

kwamba

Jonny

Mimi

ni

some,

Mu

mawazo

yake

ni

nju

namiye

nikuye

muntu,

Nju

masomo

masomo

ile

ika

ni

saijiake

Ku

mwenda

Masuku,

Kumbe

bile

byote

baba

yangu

alikwa

na

Waza

ilikuwaka

tuu'

ni

mawazo

ya

bantu

Mungu

naye

Asha

kwikala

Eko

na

niwaziya

Anaseme

Jonny

Mimi

ntakuwa

mupika

mushono

mukubwa

Ehhh

baba

mungu

akashuka

kulé

mbinguni

aka

jifanya

fundji

wangu,

aka

infiya

ndani

mwambi

aka

Anza

Kuni

fundjisha

kushona

Akili

na

ekima

akatia

ndani

mwangu

Kwa

uwezo

wake

Leo

na

itwa

mushonadji

mukubwa

Mukuye

mukuye

mwangalieni

ibi

Niko

nafanya

Mukuyeni

Mwebote

mutazame

iyi

Kazi

yangu,

Sikuyasoma

shuleni

mfundji

wangu

ni

mungu,

Musi

nishike

Dawa

mfundji

wangu

ni

mungu

pekeyake

Ata

mukiniona

Niko

nafanya

Kazi

ingine,

Niko

natafuta

namuna

gani

nikalirishe

iyi

Kazi

yangu

Ibi

bimakazi

byote

Niko

mtabiachaka

Siku

Moya,

bya

kupanda

kushuka

mitabyachaka

milwangu

Paka

nikufwe

mtekariyaka

Kazi

yangu

Ibi

byote

Niko

nafanya

aina

Dawa

ni

mungu

Ibi

Niko

nafanya

Leo

ni

mungu

ndjo

mfundji

wangu

Kama

aingekuwa

yéyé

sidjuwe

miye

kama

Niko

Nani

Ndju

bile

nilisomaka

Siku

endaka

niabyo

Fashi

Alakini

ihi

Kazi

yangu,

ndjo

byote

Kushona ,

ndjo

maïsha

yangu,

Jonny

sizoo

kushona

kwangu

Mimi

nipaka

milele,

akuna

Siku

ile

Mita

achaka

kushona,

na

akuna

muntu

ata

nikataza

kushona,

ata

nikisha

fanya

miaka,

kushona

akuwezi

kunipotea ,

ndju

mfundji

Aina

muntu

ni

mungu

Ata

nikawe

jee

kibaya

tuu'

ni

shikale

pa

mashini,

Mitashona

na

muna

Amini

asema

mungu

ana

mutoto

WA

muntu

Kushona

kwangu ,

mitendaka

kushona

tiii

paka

kumbingu,

manguo

yote

tuta

anzaka

kuvala

Ku

mbingu

ni

miye

ndjo

nta

ishonaka,

ndjomana

maana

mungu

alikwa

na

raison

ya

kuni

somesha

yepeke

Ndju

kama

tuna

Enda

kulé

mbinguni

Sisi

na

WA

Malaika

tushikateswake

bya

kuvala

Kushona

shita

acha,

mtenda

Nako

tiii

na

kumbingu,

Kushona

shita

acha,

mtenda

Nako

tiii

na

kumbingu

Kushona

shita

acha,

mtenda

Nako

tiii

na

kumbingu

Kushona

shita

acha,

mtenda

Nako

tiii

na

kumbingu

Ibi

muko

naona,

mfundji

wangu

ni

mungu

Ibi

muko

naona,

mfundji

wangu

ni

mungu

Jonny

sizoo ,

ihi

ndjo

Kazi

yangu

Jonny

sizoo

kushona

ndjo

baba

ndjo

mama

Jonny

sizoo,

ihi

ndjo

Kazi

yangu

Jonny

sizoo,

kushona

ndjo

baba

ndjo

mama

Ewe

mungu

baba,

uniwazeshe

niku

fwanane

weye

Ewe

mungu

baba,

minapenda

nikuye

mfundji

mukubwa

sa

weye

Minanza

n'a

mashini

Moya,

ewe

baba

uniwezeshe

nikwe

na

Miya

Minanza

nimoya,

mungu

uni

saidjiye

nikwe

na

kampuni

munene

miyuyu,

batu

bechike ,

yakwamba

wendjo

unafanta

Baba

unipandjishe

Sanaa ,

uniwezeshe

Sanaa,

ni

inuliwe

Sanaa,

batambuwe

ya

kwamba

weye

ndjo

unafanya

More songs by John Listen to songs created by others
FROBITS