[male vocals] Apana,
usi
nielezehe
niache
ihikazi,
Nononoo,
usi
niambiye
niache
ihi
Kazi,
Ihi
Kazi
yangu
Siku
ipatake
Kua
muntu,
Ihi
Kazi
yangu
Siku
isomake
apana,
Sasa
bita
Anza
djé
nikatale
ihi
Kazi,
Bitafika
djé
nju
nikatale
ihi
Kazi
Muku
komea
kwangu
nili
somaka
na
miye,
Babangu
miye
Ali
toshaka
makuta
take,
Ya
kwamba
Jonny
Mimi
ni
some,
Mu
mawazo
yake
ni
nju
namiye
nikuye
muntu,
Nju
masomo
masomo
ile
ika
ni
saijiake
Ku
mwenda
Masuku,
Kumbe
bile
byote
baba
yangu
alikwa
na
Waza
ilikuwaka
tuu'
ni
mawazo
ya
bantu
Mungu
naye
Asha
kwikala
Eko
na
niwaziya
Anaseme
Jonny
Mimi
ntakuwa
mupika
mushono
mukubwa
Ehhh
baba
mungu
akashuka
kulé
mbinguni
aka
jifanya
fundji
wangu,
aka
infiya
ndani
mwambi
aka
Anza
Kuni
fundjisha
kushona
Akili
na
ekima
akatia
ndani
mwangu
Kwa
uwezo
wake
Leo
na
itwa
mushonadji
mukubwa
Mukuye
mukuye
mwangalieni
ibi
Niko
nafanya
Mukuyeni
Mwebote
mutazame
iyi
Kazi
yangu,
Sikuyasoma
shuleni
mfundji
wangu
ni
mungu,
Musi
nishike
Dawa
mfundji
wangu
ni
mungu
pekeyake
Ata
mukiniona
Niko
nafanya
Kazi
ingine,
Niko
natafuta
namuna
gani
nikalirishe
iyi
Kazi
yangu
Ibi
bimakazi
byote
Niko
mtabiachaka
Siku
Moya,
bya
kupanda
kushuka
mitabyachaka
milwangu
Paka
nikufwe
mtekariyaka
Kazi
yangu
Ibi
byote
Niko
nafanya
aina
Dawa
ni
mungu
Ibi
Niko
nafanya
Leo
ni
mungu
ndjo
mfundji
wangu
Kama
aingekuwa
yéyé
sidjuwe
miye
kama
Niko
Nani
Ndju
bile
nilisomaka
Siku
endaka
niabyo
Fashi
Alakini
ihi
Kazi
yangu,
ndjo
byote
Kushona ,
ndjo
maïsha
yangu,
Jonny
sizoo
kushona
kwangu
Mimi
nipaka
milele,
akuna
Siku
ile
Mita
achaka
kushona,
na
akuna
muntu
ata
nikataza
kushona,
ata
nikisha
fanya
miaka,
kushona
akuwezi
kunipotea ,
ndju
mfundji
Aina
muntu
ni
mungu
Ata
nikawe
jee
kibaya
tuu'
ni
shikale
pa
mashini,
Mitashona
na
muna
Amini
asema
mungu
ana
mutoto
WA
muntu
Kushona
kwangu ,
mitendaka
kushona
tiii
paka
kumbingu,
manguo
yote
tuta
anzaka
kuvala
Ku
mbingu
ni
miye
ndjo
nta
ishonaka,
ndjomana
maana
mungu
alikwa
na
raison
ya
kuni
somesha
yepeke
Ndju
kama
tuna
Enda
kulé
mbinguni
Sisi
na
WA
Malaika
tushikateswake
bya
kuvala
Kushona
shita
acha,
mtenda
Nako
tiii
na
kumbingu,
Kushona
shita
acha,
mtenda
Nako
tiii
na
kumbingu
Kushona
shita
acha,
mtenda
Nako
tiii
na
kumbingu
Kushona
shita
acha,
mtenda
Nako
tiii
na
kumbingu
Ibi
muko
naona,
mfundji
wangu
ni
mungu
Ibi
muko
naona,
mfundji
wangu
ni
mungu
Jonny
sizoo ,
ihi
ndjo
Kazi
yangu
Jonny
sizoo
kushona
ndjo
baba
ndjo
mama
Jonny
sizoo,
ihi
ndjo
Kazi
yangu
Jonny
sizoo,
kushona
ndjo
baba
ndjo
mama
Ewe
mungu
baba,
uniwazeshe
niku
fwanane
weye
Ewe
mungu
baba,
minapenda
nikuye
mfundji
mukubwa
sa
weye
Minanza
n'a
mashini
Moya,
ewe
baba
uniwezeshe
nikwe
na
Miya
Minanza
nimoya,
mungu
uni
saidjiye
nikwe
na
kampuni
munene
miyuyu,
batu
bechike ,
yakwamba
wendjo
unafanta
Baba
unipandjishe
Sanaa ,
uniwezeshe
Sanaa,
ni
inuliwe
Sanaa,
batambuwe
ya
kwamba
weye
ndjo
unafanya