Frobits
🎵 A song made on Frobits

Comfort My People

0:000:00
Download
Make your own song
Lyrics

[male vocals] Isaiah

arobaini

yasema

hivi 1

Watulizeni

mioyo,

watulizeni

mioyo,

watu

wangu,

asema

Mungu

wenu. 2

Semeni

na

moyo

wa

Yerusalemu,

kauambieni

kwa

sauti

kuu

ya

kwamba

vita

vyake

vimekwisha,

uovu

wake

umeachiliwa;

kwa

kuwa

amepokea

kwa

mkono

wa

Bwana

adhabu

maradufu

kwa

dhambi

zake

zote. 3

Sikiliza,

ni

sauti

ya

mtu

aliaye,

Itengenezeni

nyikani

njia

ya

Bwana;

Nyosheni

jangwani

njia

kuu

kwa

Mungu

wetu. 4

Kila

bonde

litainuliwa,

Na

kila

mlima

na

kilima

kitashushwa;

Palipopotoka

patakuwa

pamenyoka,

Na

palipoparuza

patasawazishwa; 5

Na

utukufu

wa

Bwana

utafunuliwa,

Na

wote

wenye

mwili

watauona

pamoja;

Kwa

kuwa

kinywa

cha

Bwana

kimenena

haya. 6

Sikiliza,

ni

sauti

ya

mtu

asemaye,

Lia!

Nikasema,

Nilie

nini?

Wote

wenye

mwili

ni

majani,

Na

wema

wake

wote

ni

kama

ua

la

kondeni; 7

Majani

yakauka,

ua

lanyauka;

Kwa

sababu

pumzi

ya

Bwana

yapita

juu

yake.

Yakini

watu

hawa

ni

majani. 8

Majani

yakauka,

ua

lanyauka;

Bali

neno

la

Mungu

wetu

litasimama

milele. 9

Wewe

uuhubiriye

Sayuni

habari

njema,

Panda

juu

ya

mlima

mrefu;

Wewe

uuhubiriye

Yerusalemu

habari

njema,

Paza

sauti

kwa

nguvu;

Paza

sauti

yako,

usiogope;

Iambie

miji

ya

Yuda,

Tazameni,

Mungu

wenu. 10

Tazameni,

Bwana

Mungu

atakuja

kama

shujaa,

Na

mkono

wake

ndio

utakaomtawalia;

Tazameni,

thawabu

yake

i

pamoja

naye,

Na

ijara

yake

i

mbele

zake. 11

Atalilisha

kundi

lake

kama

mchungaji,

Atawakusanya

wana-kondoo

mikononi

mwake;

Na

kuwachukua

kifuani

mwake,

Nao

wanyonyeshao

atawaongoza

polepole. 12

Ni

nani

aliyeyapima

maji

kwa

konzi

ya

mkono

wake,

na

kuzikadiri

mbingu

kwa

shubiri,

na

kuyashika

mavumbi

ya

dunia

katika

pishi,

na

kuipima

milima

kwa

uzani,

na

vilima

kama

kwa

mizani? 13

Ni

nani

aliyemwongoza

roho

ya

Bwana,

na

kumfundisha

kwa

kuwa

mshauri

wake? 14

Alifanya

shauri

na

nani,

ni

nani

aliyemwelimisha

na

kumfunza

njia

ya

hukumu,

na

kumfunza

maarifa,

na

kumwonyesha

njia

ya

fahamu? 15

Tazama,

mataifa

ni

kama

tone

la

maji

katika

ndoo,

huhesabiwa

kuwa

kama

mavumbi

membamba

katika

mizani;

tazama,

yeye

huvinyanyua

visiwa

kama

ni

kitu

kidogo

sana. 16

Lebanoni

nayo

hautoshi

kwa

kuni,

wala

wanyama

wake

hawatoshi

kwa

kafara. 17

Mataifa

yote

huwa

kama

si

kitu

mbele

zake;

huhesabiwa

kwake

kuwa

duni

ya

si

kitu,

na

ubatili. 18

Basi,

mtamlinganisha

Mungu

na

nani?

Au

mtamfananisha

na

mfano

wa

namna

gani? 19

Sanamu

fundi

mmoja

huiyeyusha,

na

mfua

dhahabu

huifunika

dhahabu,

huifulia

mikufu

ya

fedha. 20

Yeye

aliye

maskini

sana

hata

hawezi

kutoa

sadaka

ya

namna

hii,

huchagua

mti

usiooza,

hujitafutia

fundi

mstadi

wa

kusimamisha

sanamu

ya

kuchonga

isiyoweza

kutikisika. 21

Je!

Hamkujua?

Hamkusikia?

Hamkuambiwa

tokea

mwanzo?

Hamkufahamu

tangu

kuwekwa

misingi

ya

dunia? 22

Yeye

ndiye

anayeketi

juu

ya

duara

ya

dunia,

na

hao

wanaokaa

ndani

yake

huwa

kama

panzi;

yeye

ndiye

azitandazaye

mbingu

kama

pazia

na

kuzikunjua

kama

hema

ya

kukaliwa; 23

ndiye

awatanguaye

wakuu,

na

kuwabatilisha

waamuzi

wa

dunia. 24

Naam,

hawakupandwa;

hawakutiwa

katika

ardhi

kama

mbegu;

naam,

shina

lao

halikutia

mizizi

katika

ardhi;

tena

awapuzia

tu,

wakanyauka,

upepo

wa

kisulisuli

wawaondoa

kama

mabua

makavu. 25

Mtanifananisha

na

nani,

basi,

nipate

kuwa

sawa

naye?

Asema

yeye

aliye

Mtakatifu. 26

Inueni

macho

yenu

juu,

mkaone;

ni

nani

aliyeziumba

hizi;

aletaye

nje

jeshi

lao

kwa

hesabu;

aziita

zote

kwa

majina;

kwa

ukuu

wa

uweza

wake,

na

kwa

kuwa

yeye

ni

hodari

kwa

nguvu

zake;

hapana

moja

isiyokuwapo

mahali

pake.

More songs by De Listen to songs created by others
FROBITS