Frobits
🎵 A song made on Frobits

Kwanini Afrika

0:000:00
Download
Make your own song
Continues securely on the web
Lyrics

[Intro - American Choir Chanting] Kwanini

Afrika?

Kwanini

Afrika?

Why

Africa?

Why

Africa?

[Verse 1] Ninataka

kuandika,

juu

ya

bara

Afrika,

Bara

lililotukuka,

utajiri

kadhalika,

Lakini

mengi

maafa,

watu

wake

waleseka,

Mabaya

mengi

yatukuta,

kwanini

Afrika?

[Chorus - Big American Reggae Anthem] Njaa

Afrika,

machafuko

Afrika,

Shida

Afrika,

ubaguzi

Afrika,

Ufisadi

Afrika,

udikteta

Afrika,

Mengi

yatukuta,

kwanini

Afrika?

[Verse 2 - More American Flow] Giza

latanda,

kila

kona

barani,

Watu

waranda,

kutafuta

amani,

Pesa

zapanda,

silaha

mikenoni,

Mengi

yatukuta,

kwanini

Afrika.

[Bridge - Spoken Word American Style] Ninataka

kuandika,

kwa

viongozi

Afrika,

Kwenye

shida

watuweka,

madaraka

kujitwika,

Hawataki

kuondoka,

hata

muda

ukiisha,

Mr.

Leader,

why?

Why?

[Final Chorus - Choir + Lead] Kwanini

Afrika,

bara

letu

jamani,

Kila

ubaya

hutupika,

kila

kona

huzuni,

Vifo

vinatufika,

kwa

sababu

ya

wageni,

Mengi

yatukuta,

kwanini

Afrika?

Kwanini

Afrika?

Tell

me

why,

Africa?

[Intro - American Choir Chanting] Kwanini

Afrika?

Kwanini

Afrika?

Why

Africa?

Why

Africa?

[Outro - Chant Fading] Imeandaliwa

na

Mwandishi

Cormas

Simnawa...

Kwanini...

kwanini...

Kwanini

Afrika?

Tell

me

why,

Africa?

[Outro - Chant Fading] Imeandaliwa

na

Mwandishi

Cormas

Simnawa...

Kwanini...

kwanini...

Kwanini

Afrika?

Kwanini

Afrika?

Why

Africa?

Why

Africa?

More songs by NDIKILO Listen to songs created by others
FROBITS